Elimu ya Tz inakufa

Elimu ya Tz inakufa

nombo toby

Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
47
Reaction score
41
Hadithi za Abunuas zinaelekea kupata mashiko nchini Tanzania. Ng'ombe kumnyonyesha sunguru. Suala la walimu wenye saikolojia na misingi ya sekondari sasa kulazimishwa kufundisha shule ya msingi. Najiuliza, hao waliotoa maamuz hayo wamesoma ktk vyuo gani? Walifuzu ama walihitimu? Cna Shaka majibu mnayo, uhalali wa taaluma zao ungechunguzwa, sion Kama kuna correct reasoning.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom