Kiukwel 2nakoelekea watanzania sio na 2cpokuwa makin 2takuwa 2nazalisha jamii ya wa2 wajinga mana matokeo ya form 4 kurudiwa kuchunguzwa tena kuna uwezekano wa baraza kufanya hujuma ya kuongeza idad kubwa ya waliofaulu kwa lengo la kujipatia cfa kubwa sana. So watanzania yatupasa kuwa makin sana