Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Wadau wa JF,
muda mchache uliopita nimesikia ktk kipindi cha magazeti redioni(rfa) kuwa serikali inabadilisha mfumo wa shule za msingi kwa kiwango cha juu cha elimu ya msingi mwisho kuwa ni darasa la sita. Utaratibu huu unaanza effective mwakani. Wenye access na magazeti ya leo amwage data zaidi hapa jamvini..
muda mchache uliopita nimesikia ktk kipindi cha magazeti redioni(rfa) kuwa serikali inabadilisha mfumo wa shule za msingi kwa kiwango cha juu cha elimu ya msingi mwisho kuwa ni darasa la sita. Utaratibu huu unaanza effective mwakani. Wenye access na magazeti ya leo amwage data zaidi hapa jamvini..