Elimu ya kiswahili kwenye computer na internet

Elimu ya kiswahili kwenye computer na internet

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Kiswahili Lugha yetu

Sote humu ndani ya hili _kundi sogozi_tunamiliki _simu tamba_. Tuweni makini kwani kutumia _sikanu_ zetu _mkondoni_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _maunzi laini_ yanayoweza kuharibu _kitumi_ chako au kuingilia _makavazi_ ya _sikanu_ yako. Wakishatuma _maunzi laini_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _kiungo_ kilichobeba _maunzi laini_ unakuwa _umeshapakua_ na _kusanidi mtaliga_ wenye uwezo wa kubadili au _kughushi nenomsingi_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _sikanu_ yako kwa kuifanya _*puku_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _baobonye_ ya _kiwambagusa_ cha _sikanu_ yako.

lJE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?

2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png
2b07.png

Tafsiri ya maneno hayo

1. Kundi sogozi = chatting group
2. Sikanu = smartphone
3. Kitumi=device
4. Maunzi laini=software
5. Kiungo=link
6. Kusanidi=install
7. Mtaliga=virus
8. Neno msingi=keyword
9. Puku=mouse
10.Baobonye=keyboard
11. Kiwamba gusa=touch screen
12. Makavazi=archives
13. Simu tamba=mobile phone
14. Mkondoni=online
15. Pakua=download
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom