Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Kiswahili Lugha yetu
Sote humu ndani ya hili _kundi sogozi_tunamiliki _simu tamba_. Tuweni makini kwani kutumia _sikanu_ zetu _mkondoni_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _maunzi laini_ yanayoweza kuharibu _kitumi_ chako au kuingilia _makavazi_ ya _sikanu_ yako. Wakishatuma _maunzi laini_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _kiungo_ kilichobeba _maunzi laini_ unakuwa _umeshapakua_ na _kusanidi mtaliga_ wenye uwezo wa kubadili au _kughushi nenomsingi_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _sikanu_ yako kwa kuifanya _*puku_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _baobonye_ ya _kiwambagusa_ cha _sikanu_ yako.
lJE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
⬇
Tafsiri ya maneno hayo
1. Kundi sogozi = chatting group
2. Sikanu = smartphone
3. Kitumi=device
4. Maunzi laini=software
5. Kiungo=link
6. Kusanidi=install
7. Mtaliga=virus
8. Neno msingi=keyword
9. Puku=mouse
10.Baobonye=keyboard
11. Kiwamba gusa=touch screen
12. Makavazi=archives
13. Simu tamba=mobile phone
14. Mkondoni=online
15. Pakua=download
Sote humu ndani ya hili _kundi sogozi_tunamiliki _simu tamba_. Tuweni makini kwani kutumia _sikanu_ zetu _mkondoni_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _maunzi laini_ yanayoweza kuharibu _kitumi_ chako au kuingilia _makavazi_ ya _sikanu_ yako. Wakishatuma _maunzi laini_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _kiungo_ kilichobeba _maunzi laini_ unakuwa _umeshapakua_ na _kusanidi mtaliga_ wenye uwezo wa kubadili au _kughushi nenomsingi_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _sikanu_ yako kwa kuifanya _*puku_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _baobonye_ ya _kiwambagusa_ cha _sikanu_ yako.
lJE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?
Tafsiri ya maneno hayo
1. Kundi sogozi = chatting group
2. Sikanu = smartphone
3. Kitumi=device
4. Maunzi laini=software
5. Kiungo=link
6. Kusanidi=install
7. Mtaliga=virus
8. Neno msingi=keyword
9. Puku=mouse
10.Baobonye=keyboard
11. Kiwamba gusa=touch screen
12. Makavazi=archives
13. Simu tamba=mobile phone
14. Mkondoni=online
15. Pakua=download