Inawezekana ameshindwa tu kupanga hoja ila alimaanisha elimu ya chuo sio kukaa darasani tu na kufaulu kwa GPA nzuri bali ni mzingo wa michakato mingi wakati mwingine na uwanaharakati ndani yake. Migomo, virungu, maji ya kuwasha, kukosa boom, kunyimwa mkopo, kumeet deadline ya ku submit assaignmets nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.