Kwa post yake inaelekea hana elimu ya juu!!! Sio kwa kutushusha kiasi hiki...mtoa mada una elimu gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We nenda directly kuwa unataka kutushawishi kujiunga forever living
Mnaanziaga mbali sana
Sipendi kabisa hii mada inapoelekea... Wasomi waki-retaliate hapa patachafuka.Habari ndo hiyo ... unalikuta limtu linakutajia vyuo lilivyosoma ... linaishi nyumba ya kupanga isiyokuwa na umeme ... elimu gani hiyo!
Ni bora ungesema ww unaulizia utajir wa aina gani ndguUnaposema askari tajiri,mwalimu tajiri,nurse tajiri unatumia kigezo gani kuujua utajiri wa MTU? Au utajiri wa namna gani unaouelzea hapa?
Education is Power-Sir Francis Bacon.Nimekuwa nikijiuliza Mara nyingi kuwa elimu inayotolewa nchini Tanzania hulenga nini na ni faida kwa nani? Sio Siri imechukua muda mrefu kutambua kuwa elimu ya Tanzania hususani ya juu huwapoteza watu katika direction ya maisha. Serikali ingeweka mfumo ambao mtu akisoma awe na uwezo wa kuajiriwa na kujiajiri pia tofauti na ilivyosasa.
Mtu anamaliza chuo kikuu akirudi mtaani hana tofauti na yule aliyekomea la saba labda tofauti ya kuvaa yaani msomi atakuwa anamodoa nguo zake lakini wa la saba anavaa kipapaa.
Wale ambao wameajiriwa ni watumwa, mfano mwalimu anakipindi kimoja kwa wiki lakini analazimika kuhudhuria shuleni muda wote wa kazi yaani SAA 7:30 mpaka 3:30 harusiwi kutoka njee ya kituo cha kazi kufanya Mishe zake.
Umewahi sikia kuna mwalimu tajiri? Umewahi sikia kuna nurse tajiri? Umewahi sikia kuna askari tajiri? Umewahi sikia kuna dactari tajiri? Utajiri umeumbwa kwa ajili ya nani? Kwanini ung'ang'anie kutafuta ajira? Watu wamekuwa wakisoma ili wapate makaratasi(vyeti) bila kujua makaratasi hayo yanamchango gani kimaisha.
TAFUTA FEDHA USITAFUTE ELIMU
Hapa Kuna ukweli mtupu.Zamani watu wenye hela walikuwa Ni waajiriwa. Lakini walipostaafu tu wakajikuta wanaishi kweny dimbwi la umasikini.Mfumo wa elimu ulilenga kuajiriwa. Elimu ya sasa inatakiwa ilenge mwanafunzi kuwa na uwezo wa kujiajiri.Hii itaondoa udanganyifu katika mitihani na vyeti. Maana kila mtu atakuwa na uwezo wa kujiajiri mweyewe bila kutegemea kuajiriwa.Nimekuwa nikijiuliza Mara nyingi kuwa elimu inayotolewa nchini Tanzania hulenga nini na ni faida kwa nani? Sio Siri imechukua muda mrefu kutambua kuwa elimu ya Tanzania hususani ya juu huwapoteza watu katika direction ya maisha. Serikali ingeweka mfumo ambao mtu akisoma awe na uwezo wa kuajiriwa na kujiajiri pia tofauti na ilivyosasa.
Mtu anamaliza chuo kikuu akirudi mtaani hana tofauti na yule aliyekomea la saba labda tofauti ya kuvaa yaani msomi atakuwa anamodoa nguo zake lakini wa la saba anavaa kipapaa.
Wale ambao wameajiriwa ni watumwa, mfano mwalimu anakipindi kimoja kwa wiki lakini analazimika kuhudhuria shuleni muda wote wa kazi yaani SAA 7:30 mpaka 3:30 harusiwi kutoka njee ya kituo cha kazi kufanya Mishe zake.
Umewahi sikia kuna mwalimu tajiri? Umewahi sikia kuna nurse tajiri? Umewahi sikia kuna askari tajiri? Umewahi sikia kuna dactari tajiri? Utajiri umeumbwa kwa ajili ya nani? Kwanini ung'ang'anie kutafuta ajira? Watu wamekuwa wakisoma ili wapate makaratasi(vyeti) bila kujua makaratasi hayo yanamchango gani kimaisha.
TAFUTA FEDHA USITAFUTE ELIMU
Kwani askari nae ni msomi wa Elimu ya juu!?Nimekuwa nikijiuliza Mara nyingi kuwa elimu inayotolewa nchini Tanzania hulenga nini na ni faida kwa nani? Sio Siri imechukua muda mrefu kutambua kuwa elimu ya Tanzania hususani ya juu huwapoteza watu katika direction ya maisha. Serikali ingeweka mfumo ambao mtu akisoma awe na uwezo wa kuajiriwa na kujiajiri pia tofauti na ilivyosasa.
Mtu anamaliza chuo kikuu akirudi mtaani hana tofauti na yule aliyekomea la saba labda tofauti ya kuvaa yaani msomi atakuwa anamodoa nguo zake lakini wa la saba anavaa kipapaa.
Wale ambao wameajiriwa ni watumwa, mfano mwalimu anakipindi kimoja kwa wiki lakini analazimika kuhudhuria shuleni muda wote wa kazi yaani SAA 7:30 mpaka 3:30 harusiwi kutoka njee ya kituo cha kazi kufanya Mishe zake.
Umewahi sikia kuna mwalimu tajiri? Umewahi sikia kuna nurse tajiri? Umewahi sikia kuna askari tajiri? Umewahi sikia kuna dactari tajiri? Utajiri umeumbwa kwa ajili ya nani? Kwanini ung'ang'anie kutafuta ajira? Watu wamekuwa wakisoma ili wapate makaratasi(vyeti) bila kujua makaratasi hayo yanamchango gani kimaisha.
TAFUTA FEDHA USITAFUTE ELIMU
Utajiri wa hela.Kuwa na uwezo wa kutengeneza uchumi wako mwenyewe kwa muda wako.Hizi ni kazi za kutoa huduma tu.Unaposema askari tajiri,mwalimu tajiri,nurse tajiri unatumia kigezo gani kuujua utajiri wa MTU? Au utajiri wa namna gani unaouelzea hapa?
Unaposema askari tajiri,mwalimu tajiri,nurse tajiri unatumia kigezo gani kuujua utajiri wa MTU? Au utajiri wa namna gani unaouelzea hapa?
Unatafsiri VIP utajiri ndugu? Unadhan kua na hela ndio utajiri? Unajua kutofautisha mwenye Mali na MTU aliefanikiwa?? Unajua kuutofauyisha utajiri na mafanikio??? Labda unachanganya HIV vitu viwili
si kila mtu lazima awe tajiri hapa duniani wengine wanatoa huduma kwa jamii imagine tusingepata madaktari, profesa, halafu umeongelea nesi mbona huwa wanaishia form four tu wanaenda chuo hawafiki elimu ya juu
Sasa naamini jF ina members ambao hamjitambui kabisa. Ni nchi gani duniani umesikia kila anayasoma basi kaajiriwa? Na si kila mtu eti kwa sababu kasoma basi anaweza jiajiri, baadhi ya fani lazima ziwe financed na serikali au mashirika mengine. Mfano wewe ni Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo, utaweza kuanzisha hospitali ya upasuaji moyo???
Wakati mwingine kama huna hoja ya maana kuleta jF bora ukae kimya.
Hata uulize maswali vipi ni kujifanya kujua tu.ukweli wa tajili aliousema mleta mada umeshaujua na mleta mada yuko sahihi sana tu...Soma,Ajiliwa,Fanya kazi,Kua masikini wa pesa na mawazoUnaposema askari tajiri,mwalimu tajiri,nurse tajiri unatumia kigezo gani kuujua utajiri wa MTU? Au utajiri wa namna gani unaouelzea hapa?
We unaogopa nnSipendi kabisa hii mada inapoelekea... Wasomi waki-retaliate hapa patachafuka.
Thanks!Mimi bado naamini elimu ni ufunguo wa maisha ila kuna tofauti kubwa kati ya maisha ya zamani na maisha ya leo. Zamani elimu ilkua ikifungua maisha sawa sawa ulikua ukimaliza tu f4 lazima upate pa kujiweka sababu wasomi walkua wachache. Lakini Elimu kama ufunguo wa maisha ya sasa ni tofauti sana ikumbukwe kuwa kila nyumba kuna msomi either wa level ya cheti, stashahada au shahada na wengi wao wanatafuta ajira. Je serikali na kampuni bnafsi wanaweza kuajiri wasomi wote?. Ifikie wakati wazazi waanze kuwawezesha watoto wao ili waweze kujiajiri.
Na wewe ni tajiri? Wapi ulipojifunza kuwa lengo la elimu ni kutajirisha wanaopata elimu?Nimekuwa nikijiuliza Mara nyingi kuwa elimu inayotolewa nchini Tanzania hulenga nini na ni faida kwa nani? Sio Siri imechukua muda mrefu kutambua kuwa elimu ya Tanzania hususani ya juu huwapoteza watu katika direction ya maisha. Serikali ingeweka mfumo ambao mtu akisoma awe na uwezo wa kuajiriwa na kujiajiri pia tofauti na ilivyosasa.
Mtu anamaliza chuo kikuu akirudi mtaani hana tofauti na yule aliyekomea la saba labda tofauti ya kuvaa yaani msomi atakuwa anamodoa nguo zake lakini wa la saba anavaa kipapaa.
Wale ambao wameajiriwa ni watumwa, mfano mwalimu anakipindi kimoja kwa wiki lakini analazimika kuhudhuria shuleni muda wote wa kazi yaani SAA 7:30 mpaka 3:30 harusiwi kutoka njee ya kituo cha kazi kufanya Mishe zake.
Umewahi sikia kuna mwalimu tajiri? Umewahi sikia kuna nurse tajiri? Umewahi sikia kuna askari tajiri? Umewahi sikia kuna dactari tajiri? Utajiri umeumbwa kwa ajili ya nani? Kwanini ung'ang'anie kutafuta ajira? Watu wamekuwa wakisoma ili wapate makaratasi(vyeti) bila kujua makaratasi hayo yanamchango gani kimaisha.
TAFUTA FEDHA USITAFUTE ELIMU
Swaqta mkuu bora umeliona mapema nmekaa nkajiuliza sana huyu mtu ana upeo gani wa elimu? Eti umewahi ona wapi daktari tajiri hahahaha mkuu unajua ela anazomiliki daktari ama unalopoka tu! Binafsi nipo kitengo hiko najua raha ake wee kaa ivoivo na umbumbumbu wako usiwasomeshe wanao.We nenda directly kuwa unataka kutushawishi kujiunga forever living
Mnaanziaga mbali sana
Mkuu mim leo nmeshangaa sana huu uzi alouleta ana elimu gani! Basi tutoe elimu je anaupeo gani wa maisha!Sasa naamini jF ina members ambao hamjitambui kabisa. Ni nchi gani duniani umesikia kila anayasoma basi kaajiriwa? Na si kila mtu eti kwa sababu kasoma basi anaweza jiajiri, baadhi ya fani lazima ziwe financed na serikali au mashirika mengine. Mfano wewe ni Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo, utaweza kuanzisha hospitali ya upasuaji moyo???
Wakati mwingine kama huna hoja ya maana kuleta jF bora ukae kimya.
Mkuu heshma yako upite tupate unywaji yakheeeUmeanza vizuri ila hapo kwenye bold umechemka. ..
Kwanza tupe scale ya utajiri.
Pili kwa taarifa yako wako madaktari matajiri, walimu maskari n.k
Kuhusu elimu ya Tanzania ... kasoro kubwa iliyopo ni kwamba ile inayoitwa elimu ya msingi siyo kabisa. Haimpi msingi mwanafunzi huyo.
Wataalam wa elimu wangeifumua na kuweka somo la Umahili wa kazi somo ambalo lingemfanya kila mtu awe makini kwa lolote analofanya.
Mi nawafahamu mafundi wa kushona ambao ni matajiri kabisa na wamefikia hatua ha kuajiri.
Namfahamu mwalimu mmoja mfugaji wa kuku wa kienyeji aliamua kuhachana na ajira na kuendelea na ufugaji,,, ni tajiri mkubwa tu.
Kuhusu maaskari ao sitaki kuwaongelea kwa sababu kila mtu anajua utajiri wao umeegemea wapi.
Nasisitiza UMAHILI WA KAZI ... hili ndilo somo ambalo kimsingi lingemkomboa mtanzania.