Elimu ya IGP Said Mwema..!

Do research before erupting onto the facts you assert are true while you stand with incomplete investigation, he is a holder of LL.B from UDSM: UDSM Law Alumni
 
amezaliwa siku ya umbea dunian huyo.badala ya kufikiria maisha yako unafikiria mtu mwenye maisha yake tena mazuri.watu kama nyie ndo tunasema mnadumu tu hapa duniani
 
Ndo maana thread zisisizo na kichwa na miguu ni nyingi. Kumbe vyuo vimefungwa na freshers bado wapo mitaani?
 
MWEMA ALISOMAGA KWA KUUNGAUNGA TUU, HAJAWAHI KUKAA DARASANI KUPATA ELIMU YA SECONDARI NA HIGH SCHOOL, (Private candidate) Baadaye akaingia pale mlimani akiwa mtu mzima kabisa aliyechelewa kuingia chuoni wakati huo akiwa bado ni askari polisi akisoma uzeeni, Alifanikiwaga kwenda marekani kusoma kozi fupi.alivyorudi ndio kuanza kupewa ukamanda ... baadae ndio akachongewa laini ya ahadi ya kuwa IGP baadaye kikwwete atakapoingia madarakani, kwasababu tuu ya ushemeji na kikwete.
 
Back
Top Bottom