Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Nimekuwa mdau wa Elimu muda wote
Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matamko na maelezo mengi tu kutoka kwa wadau mbalimbali wa elimu.
Leo hoja yangu ni kuwa je Elimu ya FOUNDATION inatosha kumpeleke mtu kusoma degree?
1. Foundation hutolewa kwa muda wa mwaka mmoja
2. ili uqualify ibaidi uwe una walau D 5 na umesoma course ya ngazi ya cheti walau mwaka mmoja au zaidi
3. ukishasoma na kufanya mitihani kulimgana na field yako ukipata wastani wa 50% basi hapo waweza kusoma degree.
4. kuna ushahidi wengi tu wamepitia njia hiyo na saa wanasoma masters na hata PhD.
Lakini waziri ndalichako amepiga fullstop!! anataka lazima ufiuke form VI
5. Chuo kikuu huria sasa hivi wana matawi karibu nchi nzima na nchi za nje na zaidi ya 60% ya wanafunzi wao wanasoma foundation ama wametokea foundation.
Maswali yangu mdadavue
1. je uamuzi wa waziri uko sahihi au la, maana kila chuo kikuu kina senate na council
2. je ubora wa Foundation ni questionable?
3. nini unaona kifanyike , maana wengi watakosa hizo fursa.
4. Je ni lazima kila mtu apitie form VI ndiyo afike chuo kikuu - vipi wale wa mature entry? nao watafutwa?
KARIBUNI.
Mdau
Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matamko na maelezo mengi tu kutoka kwa wadau mbalimbali wa elimu.
Leo hoja yangu ni kuwa je Elimu ya FOUNDATION inatosha kumpeleke mtu kusoma degree?
1. Foundation hutolewa kwa muda wa mwaka mmoja
2. ili uqualify ibaidi uwe una walau D 5 na umesoma course ya ngazi ya cheti walau mwaka mmoja au zaidi
3. ukishasoma na kufanya mitihani kulimgana na field yako ukipata wastani wa 50% basi hapo waweza kusoma degree.
4. kuna ushahidi wengi tu wamepitia njia hiyo na saa wanasoma masters na hata PhD.
Lakini waziri ndalichako amepiga fullstop!! anataka lazima ufiuke form VI
5. Chuo kikuu huria sasa hivi wana matawi karibu nchi nzima na nchi za nje na zaidi ya 60% ya wanafunzi wao wanasoma foundation ama wametokea foundation.
Maswali yangu mdadavue
1. je uamuzi wa waziri uko sahihi au la, maana kila chuo kikuu kina senate na council
2. je ubora wa Foundation ni questionable?
3. nini unaona kifanyike , maana wengi watakosa hizo fursa.
4. Je ni lazima kila mtu apitie form VI ndiyo afike chuo kikuu - vipi wale wa mature entry? nao watafutwa?
KARIBUNI.
Mdau