Elimu ya Dkt. Lucas Webiro wa CHADEMA kutoka Bunda

Elimu ya Dkt. Lucas Webiro wa CHADEMA kutoka Bunda

Kama wana jamvi tuna tumia sura na elimu kujadili kiongozi kwa wanabunda hebu tusikie hoja zake kama zinaweza kuwapeleka wanabunda kupata majibu ya matatizo ya Maji,matatizo ya afya,matatizo ya elimu na matatizo ya ajira kwa vijana kwa sasa mh.dkt.Lucas Webiro umwana wa yeka amefanya mengi kwenye elimu na afya.angalia haya matukio 1428695884629.jpg 1428695884629.jpg 1428695909474.jpg 1428695934873.jpg
 
Back
Top Bottom