Elimu ya chuo kikuu TANZANIA ni mfu?

Elimu ya chuo kikuu TANZANIA ni mfu?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Leo nilipita chuo kimoja mjini kumpitia mdogo wangu twende Kilimanjaro kula sikukuu.

Wakati nimepaki viunga vya chuo akaja na wenzake Kama watatu hivi kumbe walikuwa wanamalizia ku discuss naswali ya fulani hivi

Nikaanza kuwasikiliza kwa makini wakibishana nikakumbuka kabisa hii mada nilisoma wakati nipo form five kwenye pure mathematics.

Nikasogea kujilidhisha nikaona ndio yenyewe Sasa nikaanza kujiuliza inakuwaje mtoto wa chuo kikuu anasoma nadharia hivi
Screenshot_20251223-203513.png


Hawa watoto wanaweza kusolve problem za maisha kweli kwa kusoma hivi degree?

Huyu mtu anaweza kuuza vitu online, digital marketing?, anaweza kutengeneza website, anaweza kutengeneza app anaweza kutengeneza Gari, umeme wa magari, CCTV,

Wakuu mdogo wangu huyu wa kike namuonea huruma Sana

Hii ndio elimu kweli chuo kikuu unasolve thamani ya X?

Halafu Samia, Nchimbi Mwigulu mnajisifu kuzika billion 500+ kwenye mikopo huu sio upotevu wa pesa.?

Serikali aheni kupotezea watoto muda
 
Potelea pote, sisi mambo yetu kivyetu vyetu.Anyway,Nigeria 1 - Taifa stars 0(kuna ndoto eti tutabeba Afcon)

Ni vile Nigeria wanacheza kama ma godfather tungekuwa tushakula chuma tatu
 
Kwa hiyo
Leo nilipita chuo kimoja mjini kumpitia mdogo wangu twende Kilimanjaro kula sikukuu.

Wakati nimepaki viunga vya chuo akaja na wenzake Kama watatu hivi kumbe walikuwa wanamalizia ku discuss naswali ya fulani hivi

Nikaanza kuwasikiliza kwa makini wakibishana nikakumbuka kabisa hii mada nilisoma wakati nipo form five kwenye pure mathematics.

Nikasogea kujilidhisha nikaona ndio yenyewe Sasa nikaanza kujiuliza inakuwaje mtoto wa chuo kikuu anasoma nadharia hivi View attachment 3519642

Hawa watoto wanaweza kusolve problem za maisha kweli kwa kusoma hivi degree?

Huyu mtu anaweza kuuza vitu online, digital marketing?, anaweza kutengeneza website, anaweza kutengeneza app anaweza kutengeneza Gari, umeme wa magari, CCTV,

Wakuu mdogo wangu huyu wa kike namuonea huruma Sana

Hii ndio elimu kweli chuo kikuu unasolve thamani ya X?

Halafu Samia, Nchimbi Mwigulu mnajisifu kuzika billion 500+ kwenye mikopo huu sio upotevu wa pesa.?

Serikali aheni kupotezea watoto muda
KWa hiyo Bora wakaendeshe bodaboda?
 
Uko sahihi, tunasoma vitu vingine vigumu havina hata application
Nilipo toka Secondary, nilibahatika kusoma kozi moja ya Ulaya; Aisee, wanasoma Hesabu simple zinazo husiana na kile unachokwenda kufanya pekee
Yaani ukitokea PCM/B bongo, ukibahatika kusoma nje; unaenda kupata A+++
Ila ukisoma bongo unaumiza kichwa na mahesabu magumu ambayo hayana hata application, BS physics? Bs Mathematics? bongo utafanya nini?
Binafsi najua serikali inafanya makusudi

Udom bill gate alitoa laptop kibao lakini ziliibiwa zote na uongozi wa chuo miaka hiyo.

Na hakuna aliyeshikiliwa ndio ujue serikali inafanya makusudi.
 
Hivi kama Madelu anadai anamiliki PhD halafu hawezi kujenga hata hoja yoyote ya maana unategemea nini?
 
Back
Top Bottom