kwa matokeo haya ya kidato cha sita na kidato cha nne,inaashiria ni jinsi gan watawala walivyo dhamiria kuichimbia kaburi elimu ya Tanzania,ili tu Taifa liwe na wasomi wachache then waweze kuwatawala vizuri,au wakuu ninyi mnaonaje
mkuu mbona elimu ya bongo ishakufa kitambo tafuta renk ya chuo kikubwa tanzania ilivyoporomoka ndio utajua bongo pumba tupu siasa mpaka kwenye ishu muhimu..
mkuu mbona elimu ya bongo ishakufa kitambo tafuta renk ya chuo kikubwa tanzania ilivyoporomoka ndio utajua bongo pumba tupu siasa mpaka kwenye ishu muhimu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.