Elimu ya bongo inakufa

karatta

Senior Member
Apr 2, 2012
109
46
kwa matokeo haya ya kidato cha sita na kidato cha nne,inaashiria ni jinsi gan watawala walivyo dhamiria kuichimbia kaburi elimu ya Tanzania,ili tu Taifa liwe na wasomi wachache then waweze kuwatawala vizuri,au wakuu ninyi mnaonaje
 
mkuu mbona elimu ya bongo ishakufa kitambo tafuta renk ya chuo kikubwa tanzania ilivyoporomoka ndio utajua bongo pumba tupu siasa mpaka kwenye ishu muhimu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom