moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Mengi yameongelewa kuhusu ufaulu wa safari hii wa ST Francis secondary yaani nusu ya darasa kupata division one za point 7.Point saba kwa kidato cha nne ndio kiwango kikubwa cha ufaulu, Wengi walipambana kwa kusoma lakini hawakupata Point 7,Division one
Nini kilichofanyika tangu shule hii ianzishwe na ni mambo gani ambayo watu hawayajui kuhusu ST Francis Girls Secondary Mbeya ```:
Hii shule ni moja ya shule ilizoziua shule nyingi za Mbeya mjini mpaka maeneo ya Tukuyu huko, Shule kama Sangu, Meta na Iyunga Technical Secondary ndio wahanga wakubwa wa mikakati ya ST, Francis
Shule kama Iyunga Technical Secondary ndio imekufa kabisa na kushindwa kusimama tena pale Mbeya mjini sababu ya ST.Francis Secondary
Mosi, Walimu wa Iyunga secondary hasa wale wa Physics na Mathematics waliwajenga vijana kwenye shule hiyo ya serikali kila mtu aone rahisi na kupata "A " Huku msemo wa Single digit ukitawala kwenye shule hiyo miaka mingi mfululizo
Hao walimu hapo Iyunga wa Physics na Mathematics hawakuwa wengi kulikuwa na walimu 4 wa Mathematics na 3 wa Chemistry kwenye shule ya serikali yenye wanafunzi zaidi ya 800
Meta Secondary kulikuwa na Mwalimu wa Chemistry aliyejulikana kama Rand "nickname" huyu aliwafanya watu waone Chemistry ni somo la kawaida sana hapo Meta na Mbeya mjini
ST Francis wakati huo iliumia sana kutokana na Division one nyingi za Iyunga secondary kila mwaka, Wakati Iyunga ni shule ya serikali na haina mchujo kabisa, Waliohudhuria graduation za Iyunga tunakumbuka mengi wakati huo :
Hawa walimu wa Physics, Mathematics na Chemistry walipewa zawadi toka kwa mkuu wa shule, Kwa kila mtu mmoja aliyepata "A" walipewa shilingi 5000 kwa kila "A"hivyo watu waliomaliza mwaka uliopita wakipata A wengi basi unazidisha kwa 5000 ,kila mwalimu wa hayo masomo aliondoka na pesa kubwa kwa wakati huo
ST Francis waliamua kuingia negotiations na uongozi wa shule waweze kutengeneza ratiba ili hao walimu wafundishe part time ST francis toka Iyunga Secondary, Kumbuka hao walimu ndio walikuwa wakihubiri Single digit Yaani Division one kuanzia saba mpaka 9 basi hapo Iyunga Mbeya
Yule wa Chemistry meta secondary haikuwa shida sana kwani Meta ni private school hivyo alinaswa mapema sana
ST Francis ilianza kuwalipa hao walimu toka Iyunga pesa ndefu na kuwaahidi watoto wao kusoma bure au ndugu zao kila mwaka mtu au ndugu mmoja anasoma bure
Walimu hao walianza wao pamoja na familia zao kuona ST francis ndio maisha na maisha ni ST francis, Watoto wao walisoma hapo bure kama fadhila kwao na shukrani
ST Francis ikawajengea nyumba hao walimu maeneo tofauti tofauti Mbeya mjini bure kabisa kama shukrani na Fadhila, Wakajikuta wanahama kota za nyumba za Iyunga secondary na kwenda kwenye nyumba zao binafsi walizopewa toka ST Francis
Huu mkakati baada ya kukamilika wakafuata walimu wa masomo ya English na Kiswahili toka Iyunga secondary ambayo ni shule ya serikali
Mafaniko waliyoyapata kwenye masomo ya science ambayo walikuwa wanazidiwa na Iyunga secondary mkakati ulikuwa umekamilika sana baada ya kushuhudia utitiri wa "A" na Iyunga kuanza kuzitafuta kwa torch hawapati
Ili kuweka mambo sawa wakati huo, Headmaster wa Iyunga mwanae wa Kike akapata ofa ya kusoma hapo ST francis bure kabisa, Sasa huyo Headmaster ni mstaafu na mwanawe aliondoka na Single digit hapo St Francis
Uwekezaji na pesa imetumika sana kuijenga hii shule kwa gharama ya shule zingine, Leo hii shule nyingi zimebaki majina hapo Mbeya mjini walimu wazuri hasa watu wazima huchukuliwa na St Francis kwa kupewa mazingira mazuri kuanzia nyumba, mpaka magari
Siasa inayofanyika kwenye shule za serikali ni ngumu kubadilisha muelekeo kwa sasa
Serikali inatakiwa iweke siasa pembeni na iwekeze kwenye walimu wenye ufaulu mkubwa kwa kuwaandalia mishahara mizuri,
Mtu mwenye akili anahitaji mambo mengi, Yaliyotokea Iyunga, Yatatokea kwenye shule nyingi zaidi
Huu mkakati wa St Francis ulianza rasmi mwaka 1999 leo hii wao wanafikiria Single digit tu katika mitihani yao yaani Division one ya 7 mpaka 9 basi```
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kilichofanyika tangu shule hii ianzishwe na ni mambo gani ambayo watu hawayajui kuhusu ST Francis Girls Secondary Mbeya ```:
Hii shule ni moja ya shule ilizoziua shule nyingi za Mbeya mjini mpaka maeneo ya Tukuyu huko, Shule kama Sangu, Meta na Iyunga Technical Secondary ndio wahanga wakubwa wa mikakati ya ST, Francis
Shule kama Iyunga Technical Secondary ndio imekufa kabisa na kushindwa kusimama tena pale Mbeya mjini sababu ya ST.Francis Secondary
Mosi, Walimu wa Iyunga secondary hasa wale wa Physics na Mathematics waliwajenga vijana kwenye shule hiyo ya serikali kila mtu aone rahisi na kupata "A " Huku msemo wa Single digit ukitawala kwenye shule hiyo miaka mingi mfululizo
Hao walimu hapo Iyunga wa Physics na Mathematics hawakuwa wengi kulikuwa na walimu 4 wa Mathematics na 3 wa Chemistry kwenye shule ya serikali yenye wanafunzi zaidi ya 800
Meta Secondary kulikuwa na Mwalimu wa Chemistry aliyejulikana kama Rand "nickname" huyu aliwafanya watu waone Chemistry ni somo la kawaida sana hapo Meta na Mbeya mjini
ST Francis wakati huo iliumia sana kutokana na Division one nyingi za Iyunga secondary kila mwaka, Wakati Iyunga ni shule ya serikali na haina mchujo kabisa, Waliohudhuria graduation za Iyunga tunakumbuka mengi wakati huo :
Hawa walimu wa Physics, Mathematics na Chemistry walipewa zawadi toka kwa mkuu wa shule, Kwa kila mtu mmoja aliyepata "A" walipewa shilingi 5000 kwa kila "A"hivyo watu waliomaliza mwaka uliopita wakipata A wengi basi unazidisha kwa 5000 ,kila mwalimu wa hayo masomo aliondoka na pesa kubwa kwa wakati huo
ST Francis waliamua kuingia negotiations na uongozi wa shule waweze kutengeneza ratiba ili hao walimu wafundishe part time ST francis toka Iyunga Secondary, Kumbuka hao walimu ndio walikuwa wakihubiri Single digit Yaani Division one kuanzia saba mpaka 9 basi hapo Iyunga Mbeya
Yule wa Chemistry meta secondary haikuwa shida sana kwani Meta ni private school hivyo alinaswa mapema sana
ST Francis ilianza kuwalipa hao walimu toka Iyunga pesa ndefu na kuwaahidi watoto wao kusoma bure au ndugu zao kila mwaka mtu au ndugu mmoja anasoma bure
Walimu hao walianza wao pamoja na familia zao kuona ST francis ndio maisha na maisha ni ST francis, Watoto wao walisoma hapo bure kama fadhila kwao na shukrani
ST Francis ikawajengea nyumba hao walimu maeneo tofauti tofauti Mbeya mjini bure kabisa kama shukrani na Fadhila, Wakajikuta wanahama kota za nyumba za Iyunga secondary na kwenda kwenye nyumba zao binafsi walizopewa toka ST Francis
Huu mkakati baada ya kukamilika wakafuata walimu wa masomo ya English na Kiswahili toka Iyunga secondary ambayo ni shule ya serikali
Mafaniko waliyoyapata kwenye masomo ya science ambayo walikuwa wanazidiwa na Iyunga secondary mkakati ulikuwa umekamilika sana baada ya kushuhudia utitiri wa "A" na Iyunga kuanza kuzitafuta kwa torch hawapati
Ili kuweka mambo sawa wakati huo, Headmaster wa Iyunga mwanae wa Kike akapata ofa ya kusoma hapo ST francis bure kabisa, Sasa huyo Headmaster ni mstaafu na mwanawe aliondoka na Single digit hapo St Francis
Uwekezaji na pesa imetumika sana kuijenga hii shule kwa gharama ya shule zingine, Leo hii shule nyingi zimebaki majina hapo Mbeya mjini walimu wazuri hasa watu wazima huchukuliwa na St Francis kwa kupewa mazingira mazuri kuanzia nyumba, mpaka magari
Siasa inayofanyika kwenye shule za serikali ni ngumu kubadilisha muelekeo kwa sasa
Serikali inatakiwa iweke siasa pembeni na iwekeze kwenye walimu wenye ufaulu mkubwa kwa kuwaandalia mishahara mizuri,
Mtu mwenye akili anahitaji mambo mengi, Yaliyotokea Iyunga, Yatatokea kwenye shule nyingi zaidi
Huu mkakati wa St Francis ulianza rasmi mwaka 1999 leo hii wao wanafikiria Single digit tu katika mitihani yao yaani Division one ya 7 mpaka 9 basi```
Sent using Jamii Forums mobile app