Nasoma bachelor of education special needs,somo langu la kufundishia ni Mathematics na specialist yangu ni Hearing impairment.
1.Soko la ajira lipoje?
2.Naweza kufanyakazi nje ya wizara ya elimu?
3.Kwa bachelor hii naruhusiwa kusoma master ya computer science, A"lev nilisoma PCM?
1.Soko la ajira lipoje?
2.Naweza kufanyakazi nje ya wizara ya elimu?
3.Kwa bachelor hii naruhusiwa kusoma master ya computer science, A"lev nilisoma PCM?