joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Hiyo ndiyo ulipaswa kujenga hoja yako, sio kupinga kwamba hawapo waalimu wenye degree, mwenzako alitaka kujua kama Tanzania kuna wenye degree primary schools au hapana, jibu tukamuambia wapo, wewe ungeuliza kama hao walimu wana impacts au hapana, usubiri tukujibu ndiyo ulete ushahidi wako.Mtu mwenye degree anafaa awe na more to offer than mtu mwenye hana degree, and it there is no better performance then why even bother on forcing teachers to have degrees kama walimu wa diploma wanatoa better performers kuliko walimu wa degree
Unashangaa nini katika hili la Elimu, mbona Kenya ina GDP kubwa lakini haina impact yoyote, mambo mengi imezidiwa na Tanzania?, bado njaa inaongezeka, umasikini ni mkubwa, rushwa inaongezeka, deni la taifa linapaa.