Elimu inayoitajika mtaani, haipo shuleni na elimu iliyopo shuleni haina msaada mtaani

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,330
4,854
Ni mara mia kutembea miaka saba sehemu mbalimbali ndani ya nchi au duniani kuliko kukaa darasani miaka 20 leo hii wasomi wengi wanachojivunia haswa na kinachowatofautisha na watu wasio soma ni lugha na sio maarifa, ndio maana hata matangazo ya kujiunga na shule utasikia vitu viwili SHULE INASHIKA NAMBA ZA JUU yaani inafaulisha mbili WATOTO KUJUA LUGHA
English, kifaransa nk
Ukitoa hivyo hakuna kingine ndio mana leo si ajabu watoto kushika nyimbo za zuchu, na plutnums

Ni aibu kama taifa kuendekeza na kuwafundisha watoto kitu ambacho hakina msaada kwao matokeo yake tunajaza watu wasio na maarifa mtaani
NB mlio maliza vyule kwanza usije ukaridhika na elimu uliyotoka kuipata shuleni tafuta maarifa, kuwa mtu wa kukaa na watu mbalimbali,na tofauti tofauti na sikutwa kusikiza nyimbo, michezo,hiyo inakuangamiza na utabaki mpumbavu pia penda kusoma vitabu, ingia YouTube tafuta maarifa, na sio kukaa kutegemea elimu uliyopata, wasomi mnielewe mana nyinyi hamna maarifa mna elimu
 
Ujinga unakusumbua sana kila kitu kina kazi yake hapa duniani. Kuanzia walinzi, wapishi, madereva, wafagizi, vichaa, wavuta bangi, malaya.....
 
Fikiria kuhusu daktari anayesoma miaka mitano chuo ili aje akutibu wewe na ndugu zako fikiria sana
kunielewa mimi unaitaji utumie akili sio elimu broo ushawai kusikia mgonjwa anaumwa goti anapasuliwa kichwa,, pia hujawah ona unaenda hospitar madactari wapo busy tiktok na kuacha wagonjwa kwenye mabenchi broo ninaposema elimu ya mtaani naomba unielewe kwa undani
 
kunielewa mimi unaitaji utumie akili
una shida sehem kwenye akili yako, nina uhakika wewe ni miongoni mwa failures mwenye makasiriko binafsi tu.
sio elimu broo ushawai kusikia mgonjwa anaumwa goti anapasuliwa kichwa,
Mmoja tu nayo ilitokea accident tu wakati wa uandaaji wa report kabla ya surgery.
Lakini daktari huyo huyo unayemdharau ndiye aliyeokoa maisha ya wengi. kumpoteza mmoja haiondoi huo uhalisia
, pia hujawah ona unaenda hospitar madactari wapo busy tiktok
kusema unaenda ticktok pia imenipa wasiwasi na kunifanya niamnini nilichokiandika hapo mwanzoni.
na kuacha wagonjwa kwenye mabenchi
Hatuzungumzii uwajibikaji wa mtu hiyo. hii ni hulka ya mtu binafsi, ila faida ya hiyo elimu aliyo nayo kwa jamii, moja kwa moja jamii inamtegemea.
Asingekuwepo hata huyo anayelinga mngepata faida gani.
broo ninaposema elimu ya mtaani naomba unielewe kwa undani
Nakuelewa mkuu,
 
Kwani unaweza anza izunguka Dunia ukiwa na miezi mingapi
bila shaka wewe ni msomi broo mbona mada inajieleza au niseme ni mara mia kumfundisha mpya akaelewa kuliko msomi alie copy elimu ya huko mambele broo a e i o u kunamtu alizibuni? Au zilijiandika zenyewe kwenye vitabu? Alafu broo dah basi
 
Ni mara mia kutembea miaka saba sehemu mbalimbali ndani ya nchi au duniani kuliko kukaa darasani miaka 20 leo hii wasomi wengi wanachojivunia haswa na kinachowatofautisha na watu wasio soma ni lugha na sio maarifa, ndio maana hata matangazo ya kujiunga na shule utasikia vitu viwili SHULE INASHIKA NAMBA ZA JUU yaani inafaulisha mbili WATOTO KUJUA LUGHA
English, kifaransa nk
Ukitoa hivyo hakuna kingine ndio mana leo si ajabu watoto kushika nyimbo za zuchu, na plutnums

Ni aibu kama taifa kuendekeza na kuwafundisha watoto kitu ambacho hakina msaada kwao matokeo yake tunajaza watu wasio na maarifa mtaani
NB mlio maliza vyule kwanza usije ukaridhika na elimu uliyotoka kuipata shuleni tafuta maarifa, kuwa mtu wa kukaa na watu mbalimbali,na tofauti tofauti na sikutwa kusikiza nyimbo, michezo,hiyo inakuangamiza na utabaki mpumbavu pia penda kusoma vitabu, ingia YouTube tafuta maarifa, na sio kukaa kutegemea elimu uliyopata, wasomi mnielewe mana nyinyi hamna maarifa mtajikuta mnanikeje bila kunielewa
Mkuu una hoja usikilizwe, elimu yetu imejaa nadharia nyingi mno ambazo hazina faida kwa maisha ya sasa


Kwa kuwa watu walikuwa wanasoma ili waajiriwe walikuwa wanafanikiwa ila kwa kuwa sasa ajira ni chache mno kuliko wahitaji elimu hii inabaki kuwa haina maana kwa watu wengi ambao hawatapata ajira


NB: Pamoja na mfumo wa elimu kuwa mbovu bado ina umuhimu katika baadhi ya mambo, pia watu wengine inawabeba na wanatoboa kupitia mfumo huu huu
 
Back
Top Bottom