Elimu inapogeuka adui mkubwa wa ndoa...nini kifanyike?

Naamini sana katika muda na kipato cha wazazi wangu nlichotumia na ninakiheshimu sana,nakiri pia niliapa kutokuwa na uhusiano kimapenze popote pale panapohusu kazi au elimu nashukuru huwa kamwe sikingani na maamuzi ya moyo wangu,ni kweli chuo ni sehemuhatari sana usipokua na akili na malezi bora.elimu yangu na ndoa yangu ni mihimili miwili tofauti kabisa,ukishachanganya PHD na ndoa kwishaaaa unapotea kabisa.wajibu wa mke kama mke bila kuchanganya elimu ni muhimu sana.mtoa mada umesahau kudadavua hili hao wanaume wasio na elimu inapotokea wamedondoka kwenye kundi la wanawake wasomi huumia sana for the rest of th life sababu hutumia nguvu nyingi kuishi naku couple na hawa wanawake other wise awe na pesa nyingi sana,huyo mwanamke ata cool down.

sasa hapo umeongezea kitu cha tatu PESA, NDOA, ELIMU/HESHIMA
 
Ha ha ha dnt make me laugh lol dnt deceive urself there are no goodmen left all of them are taken only craps are left and never trust a man just be with him for passing time and status bt always know anything can happen at anytime open your heart for new and best possibilities

Hahahaaaaaaaaaaa @ Kujidanganya! Maneno kuntu haya lakini
 
Wawaza kugegeda 2,my dady alimess up when i was a kid big tym saivi anajikosha nimfogive kanipa gift ya masters durban nimemtel nitasoma online nitakwenda kwenye presentations tu,ila cna nia ya kusoma i want to hurt him so badly
no sh.it!!! 5 languages u remain me of an american lady i went to ist with...she spoke 8 languages...yeah now that was hard to get into her vjayjay lol.
so wen climaxing utataja xhosa kiswahili english portugese sijui na shona hahaha must be a delight being in ur company...so mtoto tukipata anakiwa translator pale un head quarters lol
 
Unaweza dhani unajua sana ya mapenzi, kumbe bado unajifunza.


Bora kuishi na kuacha kuyatiilia maanani yasiyokuhusu. Anyway
 
Wawaza kugegeda 2,my dady alimess up when i was a kid big tym saivi anajikosha nimfogive kanipa gift ya masters durban nimemtel nitasoma online nitakwenda kwenye presentations tu,ila cna nia ya kusoma i want to hurt him so badly

aisee durban twende wote ila mie naenda gegeda wazulu maana wee hutanipa papuchi yako
 
Wawaza kugegeda 2,my dady alimess up when i was a kid big tym saivi anajikosha nimfogive kanipa gift ya masters durban nimemtel nitasoma online nitakwenda kwenye presentations tu,ila cna nia ya kusoma i want to hurt him so badly

so this is where all the anger stems from...
 
Unaweza dhani unajua sana ya mapenzi, kumbe bado unajifunza.


Bora kuishi na kuacha kuyatiilia maanani yasiyokuhusu. Anyway

++
Kongosho
Wapi natakiwa kukosolewa,,maana ume-generalize mpaka nashindwa kuelewa dhamira yako
++
 
Last edited by a moderator:
Mie mixer baba msouth maza mixer ya tz na mosambique thats y am calling maself nikiwe and trust m am way beautfl and smart sema tu cjakutana na men wenye qualities nizitakazo

Hapo kwenye red umenichanganya, mwanzoni nilianza kuamini uliposema you will never get married, maana sio wanawake wote wapo ili waolewe, wengine huo wito haupo na hata kwa mashariti uliyatoa ili mwanaume wa sifa ulizosema kweli kwa Tanzania is almost impossible, you cant get any where, and in short they will just say you are not a wife material, labda kwa kugegedana then kila mtu anachukuwa time yake. Lakini unaposema men weny qulities unazotaka bado hujakutana nazo, dah, that means you still searching for the one who one day will become your husband, this also means the means of searching might include having sex, as you mentioned yourself and so..........

You have a long and very rough journey of searching a husband in Tanzania, better think of other best alternatives.

Finally I think you better agree with lara 1, she wrote to you, Never say never..........., kila shetani na mbuyu wake.

ubalikiwe
 
Last edited by a moderator:
++
Elimu ambayo ilitarajiwa iwajenge vijana waipende ndoa na kuthamini maadili yake,,sasa ni wazi mambo hayako sawa kama yanavyoonekana.Inawagawa wasomi walio vyuoni ktk makundi yafuatayo;
++
WANAUME WASOMI
Lipo kundi la wanaume wasomi ambao wapo vyuo vingi vya nchi hii,kazi yao kubwa ni kuwachezea mabinti wa chuo.Lakini ukiwadadisi kwa undani hakuna aliye tayari kuendeleza mapenzi hayo ktk ndoa.Wanadai kuwa mabinti wasomi hawaoleki,wakioleka wasumbufu,na kweli wanapomaliza vyuo hata laini za simu zinamaliza vyuo i.e hakuna ndoa wala mawasiliano!!
++
WANAWAKE WASOMI
Hawa ni wazuri sana ktk ku-maintain multiple relations.Wanajua tena wanakiri kuwa wanaume walio nao kama ma-lecturer ni just kwa grades,,wanachuo wenzao for leisure,,walio nje ya vyuo yaani makazini hao ni kwa kipato maana boom halitoshi.Wanachofanya hawa wadada ni kuwa na mawasiliano na kuhakikisha wanaume hawafahamiani..Wanacheza na mapenzi kwa raha zao,,ikitokea mimba basi ajali kazini Inatolewa.LAKINI ndoa?? Aa wapi..muda bado
++
WANAUME WASIO WASOMI
Hawa wanaliogopa sana kundi la wanawake wasomi.Wanaliona kuwa kundi lisilotabirika,lenye ujuaji,mapenzi ya uongo na lenye kupenda kutawala ndoa.Ili kujiweka salama kundi hili linaoa mapema.
++
BAADA YA KUHITIMU
Kama amenusurika kuathirika na VVU/UKIMWI,
Wanaume hawana tatizo sana,maana wanawapata akina dada walioishia ngazi za vidato kwa urahisi.
Tabu ni kwa wanawake ambao "plan B" zao zimeenda kombo.Mbali na kukuta walio makazini wana ndoa zao pia wengi wana mashariti magumu Mf..atadai anataka harusi ya kifahari (hakumbuki alivyochezewa chuoni) au anataka mahari kubwa ili alipe hisani kwa waliomsomesha.Matokeo anaposhituka uzee unakuja,,analilia mtoto,akikosa kuolewa Utamsikia "..kwani kuolewa lazima? Nataka mtoto tu,,au nitaoa!!.."
++
IKUMBUKWE
Si wasomi wote wa vyuoni wana harakati hizi,,lakini kundi linakua siku hadi siku Je nini kifanyike ili kuinusuru taasisi ya ndoa?
++

Narrow perspective. Period!
 
Narrow perspective. Period!

++
BiMkubwa
Hasty conclusions without open reasoning are not qualities of a good thinker..tell me your reasons and I will move the world behind.
The problem of this world is that most women they always want to hear good side about them,,anything otherwise is a narrow thinking
++
 
Last edited by a moderator:
Narrow perspective. Period!

++
BiMkubwa
Hasty conclusions without open reasoning are not qualities of a good thinker..tell me your reasons and I will move the world behind.
The problem of this world is that most women they always want to hear good side about them,,anything otherwise is a narrow thinking
++
 
Last edited by a moderator:
Acheni umbulula nyie ndoa ni taasis ya kale ambayo haiwezi himili changes na advancement ya technology tuliyofikia ulimwenguni kwa sasa,anayelilia ndoa analilia ukale ambao am not interested at all,am far beyond life ya zamadamu so marriage to me its not on the picture,kama kuna man yuko tayari kunifulia kunipikia, kuiron my clothes,kuniandalia msosi nikirudi job saa 5 usiku, kusafisha nyumba yangu kunipa sex ya nguvu every nite,kutunza watoto nitakao zaa naye ajitokeze jumamosi ijayo twende st joseph tukafunge ndoa ha ha h a ha ha life has changed dudes get that into your heavy heads

Hahaha women bana, you came after us, you are second to us! So mtaongea chochote lkn kwa mwanamke ndoa ni chuo kikuu!
 
Back
Top Bottom