jimmy fivao
Member
- Jun 5, 2015
- 26
- 3
Dah. Kweli nimeamini elimu haina wisho,Jana nimekaa na jamaa tunapiga story moja mbili aha.Jamaa akaniuliza ivi unakumbuka tulikuwa dalasa la kwanza tulikuwa tunasoma vitu mbalimbali akasema kupaa hewani tulikuwa tunasemaje nikamwambia fry akasema gud akanauliza na ndege inaitwajee?dah nilishindwaaaa ebu mdawu unakumbuka tulivyokuwa tunaimba........Niambie basiii