G Gwamanga JF-Expert Member Joined Jun 25, 2021 Posts 247 Reaction score 472 Feb 26, 2025 #1 Kwanini serikali isifute sera ya Elimu bure ili iweze kupunguza gap la kugharamia elimu nchini??
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 12,746 Reaction score 29,980 Feb 26, 2025 #2 Khaaa 😳 kijana umekula leo?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,380 Reaction score 88,482 Feb 26, 2025 #3 Mh! kwanza ilikuwa inatakiwa na afya wafanye bure tu!
N Nikilewa mniache JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,510 Reaction score 52,597 Feb 26, 2025 #4 Elimu sio bure hapa nchini
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 45,908 Reaction score 100,659 Feb 26, 2025 #5 Mkuu una jua usi waze kwa kufikiria nafsi yako tu, Kuna watu hata hela ya Panadol Ina washinda sembuse ada ndo wataweza? hiyo elimu bure ime fanya hata wasio kuwa na uwezo, na wao wapeleke watoto shuleni.
Mkuu una jua usi waze kwa kufikiria nafsi yako tu, Kuna watu hata hela ya Panadol Ina washinda sembuse ada ndo wataweza? hiyo elimu bure ime fanya hata wasio kuwa na uwezo, na wao wapeleke watoto shuleni.
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 45,908 Reaction score 100,659 Feb 26, 2025 #6 Mkuu tembea uone, Kuna watu hawana hata uwezo wa kununua yeboyebo kwa ajili ya kuvaa. mtu mlo 1 kwako ni zaidi ya utajiri.
Mkuu tembea uone, Kuna watu hawana hata uwezo wa kununua yeboyebo kwa ajili ya kuvaa. mtu mlo 1 kwako ni zaidi ya utajiri.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,192 Reaction score 1,249,544 Feb 26, 2025 #7 Inashangaza sana