Elimu Bure Vyuo Vikuu, Lowasa kalenga mbali

Elimu Bure Vyuo Vikuu, Lowasa kalenga mbali

Mimi nilitegemea wewe unaye amini kuwa hilo linawezekana uwe umepiga mahesabu ni kiasi gani kitahitajika. Hapa ninachokiona ni kuwa Ada itagharimiwa na serikali ila vingine vitabaki mkopo. Hilo litakuwa changa la macho kwani hadi sasa wapo wanaopata 100% hivyo hawalipi ada.
Hii nchi ndo maana Lowassa na chadema wameweka kipaumbele cha 1-elimu 2-elimu na 3-elimu. Hiyo unayoiita board ya mikopo ni mali ya nyumbani kwenu!?? Waulize wote waliosoma kwa huo mkopo aliyemaliza kulipa hilo deni hata nusu. Acha ujinga hiyo board badala ya kukopesha itabadilishiwa kazi za kufanya. Hizo unazokopeshwa hutazirudisha tena,maana hata sasa ni za serikali.
 
Mimi nilitegemea wewe unaye amini kuwa hilo linawezekana uwe umepiga mahesabu ni kiasi gani kitahitajika. Hapa ninachokiona ni kuwa Ada itagharimiwa na serikali ila vingine vitabaki mkopo. Hilo litakuwa changa la macho kwani hadi sasa wapo wanaopata 100% hivyo hawalipi ada.

ukipewa asilimia mia kama unasoma vyuo vya serikali ndo hulipi chochote but most of those wanaosoma private institution wanaongezra prsa ata kama wana 100% na vyuo vya serikali ni vichache so wanafunzi wengi wanasoma vyuo vya private
 
Hii nchi ndo maana Lowassa na chadema wameweka kipaumbele cha 1-elimu 2-elimu na 3-elimu. Hiyo unayoiita board ya mikopo ni mali ya nyumbani kwenu!?? Waulize wote waliosoma kwa huo mkopo aliyemaliza kulipa hilo deni hata nusu. Acha ujinga hiyo board badala ya kukopesha itabadilishiwa kazi za kufanya. Hizo unazokopeshwa hutazirudisha tena,maana hata sasa ni za serikali.

Unataka watu warudishe hiyo hela wakati majority wako mtaani hawana kazi ?

Tatizo kubwa ni ubora wa elimu yetu na sio gharama ya elimu.Kwa sasa hata elimu ya msingi na secondari ikiwa bure still wengi watapeleka watoto shule za private.

Another priority ni kuwaondoa graduates waliojaa mtaani na sio kuwaongeza kwa kugezo cha elimu bure
 
Huenda ni kwa kukosa uelewa kamili au ni kwa kukusudia ila atakuwa kalenga mbali na kukosa shabaha. Gharama za elimu ya chuo kikuu ni kama:-
1. Tuition fee
2. Meals and accommodation
3. Practical training/industrial practices nk
4. Special faculty requirements.
Je ikiwa bure ni kipi kitatolewa bure au vyote.
Je, loans board itafutwa?
Je, kama ikifutwa, mbona hatusikii kuwa wadaiwa wa loans board watafutiwa madeni yao, maana hakutakuwa na wakuyakusanya.
Hii ahadi imepakwa rangi ila ni sawa na kumpa mbu kazi ya kutibu malaria.

Hhhhhhhh itafahamika tu
 
Back
Top Bottom