Kachocho T.K
Member
- Feb 1, 2011
- 25
- 3
Masikitiko, Masikitiko. Ndugu Mtanzania, kila mara rais na viongozi wake wanajigamba, ELIMU TANZANIA imepanda. Je kwanini usiamini kupanda kwa elimu kunathibitishwa na zero na kufeli kwa asilimia 80 ya wanafunzi wa kidato cha nne mwaka huu. Hongera rais na wasaidizi wako ziro tumeziona. Hii ndio hali, kasi na nguvu zaidi.