Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,657
Wasanii wengi wenye majina makubwa wengi wanatabia ambazo wengi huchukizwa nazo wanasahau hata kauri mbiu yao ya wasanii kioo cha jamii,sasa embu tuelezeni tabia zao mbaya ili ikiwezekana wajirekebishe. AFANDE SELE nyimbo zake nyingi zina jumbe za kuvutia,kufundisha,na kuburudisha ila aimbavyo tofauti na aishivyo,ugomvi,kuvua nguo majukwaani na mengine mengi ya kuchukiza, MATONYA Jamaa ni tapel popote aendapo hata kama mfukoni ana milion 2 lakini huwa hafurahi kutoka sehem bila kuwaingiza mjini watu, vitu kama mavazi,tax ,guest,pombe,baada ya hapo tuje tueleze na mazuri yao.