Ekari moja inatoa gunia ngapi za dengu

WENYELE

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,415
1,379
kwa wataalam wa kilimo,ukilima ekari moja na ikaiva vzuri unaweza pata kiasi gani cha mavuno yaani magunika.kiasi gani?
 
Bado nahitaji majibu yenu wanajukwaa....naamini kuna wataalamu humu wa kutosha.
 
Back
Top Bottom