WENYELE JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,415 1,379 Jan 2, 2015 #1 kwa wataalam wa kilimo,ukilima ekari moja na ikaiva vzuri unaweza pata kiasi gani cha mavuno yaani magunika.kiasi gani?
kwa wataalam wa kilimo,ukilima ekari moja na ikaiva vzuri unaweza pata kiasi gani cha mavuno yaani magunika.kiasi gani?
M mzee wa manzese JF-Expert Member Oct 31, 2012 670 215 Jan 3, 2015 #2 Singida na misungwi wanalima sana
LWITIKO LWITIKO JF-Expert Member Jan 27, 2013 209 117 Jan 3, 2015 #3 Toa majibu mzee wa Manzese sio maelezo
WENYELE JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,415 1,379 Jan 12, 2015 Thread starter #4 Bado nahitaji majibu yenu wanajukwaa....naamini kuna wataalamu humu wa kutosha.