Eid Mubarak wana chit chat woote!

Kaizer

Platinum Member
Joined
Sep 16, 2008
Posts
25,329
Reaction score
17,855
Hayahaya wajameni kimeeleweka sasa

Napenda kuchukua fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislam Eid Mubarak na kuwapongeza wote waliofunga.

Nianze na shemeji yangu Roulette, sweetlo gfsonwin na niece wangu Mwali. Salam za Eid ziwafikie pia babu Asprin na wakeze BADILI TABIA Yummy cacico chini ya uangalizi wa Kongosho.
Eei mubarak my wife wangu AshaDii na wa siri wangu mkuu mwaJ popote ulipo.

Japo charminglady kaaga namtakia mkono wa iddi pamoja na wakati ndio sasa. Judgement na baby nasty, mtu chake [MENTION=10188]TANMO[/@eickb52 wakiwa na preta fungateni, pia namtakia heri Remmy na kumsihi abadili mawazo

Wengineo ni Neiwa, BAGAH, ummu kulthum, mwalimu wangu Madame B na ruttashobolwa, MtotoSix Mtoboasiri na wanachit chat woote

Ujumbe tusherekee kwa amani

mwaJ nakuja nipo morgoro sasa kila ulichoagiza utakipata
 
Last edited by a moderator:
Kaizer Minak Faidhina, ni kweli watu tusherekee lakini tusiputike mipaka ya Allah S.W.

Dunia inapita, lakini Akhera ni ya milele.
 
Last edited by a moderator:
Eid Mubarak!

Nawapongeza mliofuata mfungo wenu religiously, it's not a joke kwa kweli.

Am happy for you kwa kujitoa kiasi hicho.

(nialikeni basi Roulette?)

Kaizer asante, ila sijui kujibu nitaharibu lugha.
 
Last edited by a moderator:
kumbe tunajibu minak faidhina??

Kesho sitapata tabu, naandika kwenye karatasi.

Kaizer Minak Faidhina, ni kweli watu tusherekee lakini tusiputike mipaka ya Allah S.W.

Dunia inapita, lakini Akhera ni ya milele.
 
Last edited by a moderator:
Nawakaribisha wapenzi,wafurukutwa,wakereketwa,washikadau,washabiki,waungaji,wafuasi,wapenzi na waamini wote wa CCM pale Simba Kapakatwa pub makumbusho mje tusherehekee Iddi
 
kumbe tunajibu minak faidhina??

Kesho sitapata tabu, naandika kwenye karatasi.

Ndiyo hivyo inavyoitikiwa Kongosho, cha msingi ni kukumbushana wote tuliofunga kutoa zakat fitri ili funga zetu zisielee na kuwa maquburi mbele ya Allah S.W.

Eid njema.
 
Last edited by a moderator:
Min-al-faidhiina, ukiona kimya ujue sina, na nikikupa basi nimefikiria kwakina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…