CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Atacheza mechi ya kesho dhidi ya jkt ruvu.
Anaishi kwenye moja ya hotel kubwa pale bagamoyo.
Yanga mnatisha aise!
Anaishi kwenye moja ya hotel kubwa pale bagamoyo.
Yanga mnatisha aise!
wana simba mtakufa na presha mwaka huu!:help:
Sitashangaa akicheza mechi za kirafiki, ila nitashangaa akicheza mechi za mashindano! Kwani hiyo mechi dhidi ya JKT Ruvu ni ligi gani?Atacheza mechi ya kesho dhidi ya jkt ruvu
Kime wauma sana poleni ndo professional player nyie mlifikiri kazaliwa hapo.Bado na jengo tunalinunua masikini nyie na sasa hivi abromovich ndani ya nyumba(Manji)
Atacheza mechi ya kesho dhidi ya jkt ruvu.
Anaishi kwenye moja ya hotel kubwa pale bagamoyo.
Yanga mnatisha aise!
Sitashangaa akicheza mechi za kirafiki, ila nitashangaa akicheza mechi za mashindano! Kwani hiyo mechi dhidi ya JKT Ruvu ni ligi gani?
Tumien wachezaji wa simba kupata kura, uchaguzi ukiisha watarud simba kucheza soka