englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
usiombe uingiwe na mdudu mitaa iyo........
khaaa utavua nguo pasi kupenda
usiombe uingiwe na mdudu mitaa iyo........
khaaa utavua nguo pasi kupenda
mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikiwa sina movement yoyote.
ndicho nilifuata baada ya hapo.Mkuu uwe unanyoaga bas
ndicho nilifuata baada ya hapo.
mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikawa sina movement yoyote.
mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikawa sina movement yoyote.
hahahahaaa mkuu acha kabisa asee.... usiombe vu.zi libanwe na zipu.. afu labda ndo uko kwenye mstari wa kwenda kutoa sadaka.... weeee lazima ujifanye unazimia waje kukuombea.
Maskini weeeee sijui kapatwa na nini jamani???
hahahaaaaaaaaaaaa,shida utakapoambiewa ufanyefanye mazoezi ya kutembea...hahahahaaa mkuu acha kabisa asee.... usiombe vu.zi libanwe na zipu.. afu labda ndo uko kwenye mstari wa kwenda kutoa sadaka.... weeee lazima ujifanye unazimia waje kukuombea.