Ama kweli humu kuna watu wanafiki sana, nyinyi si huwa mnasema hamsikilizi clouds na kuangalia tbc huyo kibonde mmemsikiaje?. mtakuja kuchomwa moto siku za mwisho na masiasa yenu oh! muogopeni Mungu muache unafiki hasa wewe unayesoma ujumbe huu na unaonekana kukuudhi unahusina.soma alama za nyakati. CDM kuna Phd ya Slaa. masters za ZZK. LISU. MNYIKA. Dada Wa Kawe Mdee. listi ni ndefu. hizo degree za kwanza ndio usipime. ccm mmekosa dira mpaka maji marefu mnamuona msomi kwa kuitwa prof.
As a person, I think he's very down to earth and nice guy.Division zero form six ndio apewe ukuu wa wilaya. ndo maana nchi haitapiga hatua. Kibonde hana world outlook kabisa. yaani hata waziri mkuu wa Uganda hamjui
soma alama za nyakati. Cdm kuna phd ya slaa. Masters za zzk. Lisu. mnyika. Dada wa kawe mdee. Listi ni ndefu. Hizo degree za kwanza ndio usipime. Ccm mmekosa dira mpaka maji marefu mnamuona msomi kwa kuitwa prof.