Ameshamaliza?
Huyu jamaa zuzu kwelikweli
Jamaa huwa anamishe na kiu ya kupewa "ukuu wa wilaya"ndo maana anashadadia sana!
Division zero form six ndio apewe ukuu wa wilaya. ndo maana nchi haitapiga hatua. Kibonde hana world outlook kabisa. yaani hata waziri mkuu wa Uganda hamjui
Si kama MBOWE TU?? na Divisheni ziro yake mbn anaongoza chadema???
Si kama MBOWE TU?? na Divisheni ziro yake mbn anaongoza chadema???
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us