eFootball Special Thread

Sasa braza kaka Man u yangu imeingiaje hapa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mimi nashukuru kujiokoa kwenye addiction ya Man U maana ningekuwa naishi maisha ya tabu sana, Mimi tokea darasa la kwanza huniambii kitu kuhusu Man U bora nikose kula kuliko kukosa kucheki Man U hata mechi za usiku mzito nilikuwa natoroka home kwenda kucheki.

IKifungwa nilikuwa sina raha nikicheki mechi zao presha tupu , nikaanza kujiweka sobber program ya kuikataa sasa hata imenitoka rasmi sijui hata lini mara ya mwisho kuwaona.
 
Nyie ndiyo walewale tu hakuna ulichojiokoa ni umeamua kujificha tu πŸ˜‚

Ubaya wa mashabiki wa hii timu wakipata ushindi mechi 1 tu utasikia neno lao kubwa β€œNdo tumeanza” πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Man u itakuja iniue nipo nayo mpaka mwisho ijifie yenyewe
 
Nyie ndiyo walewale tu hakuna ulichojiokoa ni umeamua kujificha tu πŸ˜‚

Ubaya wa mashabiki wa hii timu wakipata ushindi mechi 1 tu utasikia neno lao kubwa β€œNdo tumeanza” πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Zamani katika harakati za kuacha ndio nilikuwa hivyo nikiona gari limewaka kidogo narudi sasa miaka takribani Mi 3 sijawahi kwenda kuwacheki kabisa hata taarifa zao sifuatilii.

Hilo lipo ndio maana sikuacha Moja kwa Moja nikienda kwa steps , nilianza kucheki big match tu Kisha baadae nikawa nafuatilia Jf tu Sasa sipo kabisa na jimejipima hata nikipata taarifa za kichapo hainiumi sasa.

Kitu ambacho ni ngumu ni kuhama timu yaani kuanza mapenzi na timu mpya tofauti na uliyoizoea tokea utotoni ni ngumu ila kuacha kushabikia timu ukiwa bize tu na mambo mengine haiwi ngumu sana .
 
Hufai kuwa Genaral wewe, unatakiwa uwe kama Tagon πŸ˜‚

Unajua hutoboi lakini bora ufie hapohapo πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…