eFootball Special Thread

Aah kama ni pale sawaa nikajua ulichokoma pale kwa akina Cannavaro ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Wale sio standard kama umempata Gravenbearch yule ni mzuri ukamtoe caicedo sasa pale kwenye kikosi chako๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Mkuu calcedo hawezi toka leo wala kesho ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ najua kwanini
 
Utacheza na kila mtu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒusiwe na wasiwasi kila mtu lazima asumbuke na backline yako๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Mkuu unanichoma kabisa yani. Aliyesumbuka na backline yangu ni nani na ndo kwanza ligi imeanza na unajua sijui kukaba? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ