eFootball Special Thread

Hii app yako inatunza record za nyuma maana kila round napewa watu kazi😀
Robo fainal huwa inamkutanisha mtu 1 vs 8 na wa 2 vs 7 wa 3 vs 6 na Wa 4 vs 5

Then kunakuwa na makundi mawili
1 vs 8 na 4 vs 5 na kundi la pili ni 2 vs 7 na 3 vs 6 ambapo washindi wa sehemu moja watakutana nusu fainali


Sasa wewe mkuu ni either uwe kwenye namba moja au kama saiv ulipo chini huko😃😃 kwahiyo ni kazi kazi kila hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…