Tunapishana mno mkuuMkuu mda ni sasa
Khalas ππΉnaona kabisa niki kutana na Bwana wa halotel labda tu kandambili afanye yake , una pingamizi bwana slow slow Warld ?πΉπΉ
Haya maneno ukiyatafakari kwa umakini zaidi unaona kabisa hii ni tahadhari nimepewa πHahah mkuu kwako sio ngumu kabisa Sina maajabu yoyote hahaha...nakutakia ushindi kwenye hii game.
AIsee haya ngoja tuone πKandambili1 ana hatari anaenda kama haendi ,me ni shabiki yake lakini ningependa bwana wa haloteli arudi tena nimchape ana mdomo sanaπΉπΉ
Nikimfunga ataomba apewe ban maana... πππRazorblade nakukumbusha hujawai mfunga Gilbertoπ€£π€£π€£
Huyo jamaa kwa huo mpira wake tumuangalie tu maana... πππ
Sawa bingwaHuyo jamaa kwa huo mpira wake tumuangalie tu maana... πππ
Kama anabet huyu basi anarusha aviator πππ
Masta ni Razorblade π€£π€£π€£ambaye kaona upo slow me sijui kituππ
Ni vile tu ile kawaida yetu ya kuwa tunaelekezana naona inapotea ila kama Warld akiwa na speed basi naamini atapunguza au kuacha kabisa kutumia aviator, anacheza vizuri na anajua kutumia nafasi ila tatizo ni hilo la speed.Slow slow
Hizo aviator ni kwako tuu kwangu anapanga mpira chini mzee π π π au kwasababu ananimuuduπ€£π€£Huyo jamaa kwa huo mpira wake tumuangalie tu maana... πππ
Kama anabet huyu basi anarusha aviator πππ
Hizo aviator ni kwako tuuππβni kama mimi nikicheza na Gilberto au Negan ni kubutua tuu sifanyi makosaππNi vile tu ile kawaida yetu ya kuwa tunaelekezana naona inapotea ila kama Warld akiwa na speed basi naamini atapunguza au kuacha kabisa kutumia aviator, anacheza vizuri na anajua kutumia nafasi ila tatizo ni hilo la speed.
Nimeliona kwa sababu mie mwenyewe bado nafanyia kazi kuhusu speed.
Ingekuwa simu yangu iko vizuri ningerecord mechi nzima halafu uone hivyo vindege huko juu πHizo aviator ni kwako tuu kwangu anapanga mpira chini mzee π π π au kwasababu ananimuuduπ€£π€£
Ni vile tu ile kawaida yetu ya kuwa tunaelekezana naona inapotea ila kama Warld akiwa na speed basi naamini atapunguza au kuacha kabisa kutumia aviator, anacheza vizuri na anajua kutumia nafasi ila tatizo ni hilo la speed.
Nimeliona kwa sababu mie mwenyewe bado nafanyia kazi kuhusu speed.
Formation yake ili nimfunge lazima aviator ihusike maana wachezaji wake wamejaa mbele na katikati ila mtu anaetumia mfumo wa kawaida kwenye possession ni rahisi kwangu kupiga passHizo aviator ni kwako tuuππβni kama mimi nikicheza na Gilberto au Negan ni kubutua tuu sifanyi makosaππ
Sawa masta wa sex ballIngekuwa simu yangu iko vizuri ningerecord mechi nzima halafu uone hivyo vindege huko juu π
Kitu ambacho namuelewa ni kwenye kutumia nafasi.Hizo aviator ni kwako tuuππβni kama mimi nikicheza na Gilberto au Negan ni kubutua tuu sifanyi makosaππ
Sema unajua mkuu mimi sina baya kabisa, nafasi unazitumia vizuri.Formation yake ili nimfunge lazima aviator ihusike maana wachezaji wake wamejaa mbele na katikati ila mtu anaetumia mfumo wa kawaida kwenye possession ni rahisi kwangu kupiga pass
Ila we jamaa unaniandama au hukutegemea kufungwaKitu ambacho namuelewa ni kwenye kutumia nafasi.
Mtu akinifunga kwa style ya aviator siwezi mpa sifa ila yeye nampa sifa kwenye kutumia nafasi π
Yan ungejua mfumo wake una matobo mengi sana usingetumia hata aviator πππFormation yake ili nimfunge lazima aviator ihusike maana wachezaji wake wamejaa mbele na katikati ila mtu anaetumia mfumo wa kawaida kwenye possession ni rahisi kwangu kupiga pass
Ntamuomba friendlyYan ungejua mfumo wake una matobo mengi sana usingetumia hata aviator πππ
Wachezaji wanatoka mno panga pasi moja moja utaona
π€£π€£π€£NimechekaIla we jamaa unaniandama au hukutegemea kufungwa
Easy mkuu, tunaburudika πππIla we jamaa unaniandama au hukutegemea kufungwa