Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Na hizo bilioni 36 zitarudi tumeanza na Vifaa vya Tanzania daima na kesho tunavipiga mnada tunahamia billicanas mwisho tunafunga breki pale NSSFNa kumbuka serikali imetumia billion 36 kuzima moto wa Ukuta.
Swissme
Jirani yako kakwambia hivi, "mbuzi wako wanakula mazao yangu, kama wakiendelea kula ntajua cha kufanya"
Je gharama utakazotumia kujihadhali au kudhibiti linakuwa deni kwake?
Ukienda kumdai, watu wakakuita jina lolote baya utalaumu?
Mtu mzima usihangaike kufungua thread nyingi kutaka jamii iamini kuwa ukuta una effect kwa serikali wakati in reality huo ukuta umewaletea negative effect nyingi sana nyinyi kama chadema.
Atleast tungemuona salimu mwalimu akiwa nje na sio mahabusu, au jeshi lingeacha kuranda mitaani hapo tungejua ukuta una effect na serikali imeufyata.
Hakuna lalamiko lenu hata moja katika vile viashiria vya udikteta mlivyovitaja iweje useme ukuta umeleta effects?
PoleNimepigwa Ban ya mwezi hadi siamini.
Hahaha hunitishi mkuu kwakuwa wanakusifiaga uchawi so unaanza kunitisha mimi kama Magufuli Huwa Sijaribiwi. Ulozi mwisho Ufipa huku ni kuvunja tuu Ukuta
Mmh hapo ulozi uko wapi? angalia vizuri hiyo picha kisha tafakari kama gtHahaha hunitishi mkuu kwakuwa wanakusifiaga uchawi so unaanza kunitisha mimi kama Magufuli Huwa Sijaribiwi. Ulozi mwisho Ufipa huku ni kuvunja tuu Ukuta
Picha yoyote yenye nyau ni uchawi tuuMmh hapo ulozi uko wapi? angalia vizuri hiyo picha kisha tafakari kama gt
Fasihi iliyojaa dhihaka ndani yake na ukweli kiduchu...ila kwakuwa ni malumbano ya hoja hakuna tatizo...mitazamo haiweZi kuwa sawa ila ukweli hubaki kuwa ukweliHivi tujiulize,hvi lipi geni kati ya hayokufanywa na jeshi?au ndio Siasa mfu zimeongeza uwezo wetu wa Kumbukumbu.
Kurusha ndege za Kijeshi,mazoezi hayo hufanywa sana kwenye mikoa yenye base.
Usafi hufanywa na kazi nyijgine za kijamii,kama huna kumbukumbu,fuatilia maadhimisho hayo ya miaka ya nyuma utajua kwamba walifanya makubwa zaidi ya hayo.
Sasa imekuwa kila kitu UKUTAAA,UKUUTAA,walioshika UKUTA waacheni tu waushike mpaka 1st Oct.
Hayowangesema watoto waliozaliwa miaka ya 2000 kuja juu,ila sie wa chini ya hapo ambao tumehudhuria maadhimisho yao Mengi tunajua nini jeshi linafanya.
Na Tatizo kubwa sana ni wengi kuwa na Ugonjwa wa msongo wa Siasa na Kusoma kwa Kukariri na kutokuwa na kumbukumbu,na uwezo mdogo wa kufuatilia mambo.
Kwa vile UKUTA umeingilia Maadhimisho hayo basi hata wale ambao hata kujua Maadhimisho ya miaka ya nyuma yalikuwaje,hamna.Akili Siasa tuuu.Vizazi vitawahukum kwa kutokuwa na Kumbukumbu na ndio maana siku hizi vitoto vya Shule ya msingi vinaweza kukupiga swali mtu mzima ukabakia unatoa macho,mwisho wa siku anakuwekea heshima tu,ila angekuuliza hivi Baba wewe umesoma kweli?
Mshana fani yako ni UGANGA mkuu,huku waachie wenyewe.
Hembu tuambie matokeo baada ya jua kukamatawa
Inabidi Mbowe akupe nishani kwa jinsi unavyojitahidi kufufua hamasa ya ukuta hapa jamvini.Leo tarehe mosi mwezi wa tisa ni siku iliyoingia kwenye vitabu muhimu vya historia
Kimataifa ni siku jua lilipopatwa. Wizara ya utalii? Imetuangusha sana hii ndio ilikuwa siku ya kuitangaza nchi na kupiga pesa ya kufa mtu..! Kupatwa kwa jua kama leo kutakuja kutokea tena miaka takribani 300 ijayo! HATUTAKUWEPO lakini maandishi haya inshallah yatakuwepo
Kitaifa ni Kichekesho kidogo! Leo ndio majeshi yetu yametimiza miaka 52 tangu kuanzishwa kwake (kubadilishwa)kwa mara ya kwanza kwenye historia ya maadhimisho ya majeshi yetu leo yalipanga kufanya yafuatayo
-kurusha ndege zetu/zake za kivita kwenye anga la Dar
-kufanya usafi kwenye maeneo na mitaa ya jiji la Dsm
-Kushiriki uchangiaji wa Damu Muhimbili na kwingineko
Shughuli hizi za majeshi zilipooza vibaya sana kwa sababu anuwai
Leo ndio ilikuwa iwe ndio uzinduzi wa maandamano bila kikomo ya UKUTA! Tunajua fika maandalizi yaliyokuwa yamefanywa na mamlaka za nchi!
Majeshi yalikuwa kwenye alert kubwa sana! Niliamua kufanya ziara Dar na kujionea hali halisi. Maeneo mengi kulikuwa na magari ya polisi yenye vioo vya giza (Ashok za mhindi)full equipped...
Yani jeshi lilikuwa haliamini bado kama hakuna maandamano ya UKUTA.. maeneo hayo ni
-Mabibo kuelekea uwanja wa Sahara
-Ubungo mitaa ya riverside
-Kawe Tanganyika packers
-Kidongo chekundu
-Jangwani
-Temeke Mwisho
-Uwanja wa sifa mtoni kwa kabuma/nyuma ya saba saba
-Mbagala Zakhem
-kona ya Tandika sweet corner
Kwa ujumla hakukuwa na foleni na mji ulikuwa umepoa mno
Nimerejea nyumbani salama
Lakini effects za ukuta zimewakumba hata members wenzetu hapa jamvini..wengi wako kifungoni japo asubuhi na mapema tulikuwa nao
UKUTA ni phenomenon ambayo haitaki hasira jabza wala kukurupuka kwakuwa walioibuni hawakuwa na hizi elements..
Kuahirishwa kwa UKUTA limekuwa ni tukio kubwa na la aina yake litakalodumu kwenye vitabu vya historia
The only good thing ni kwamba humaanishi unachoongea kwakuwa kwa dhati ya moyo wako ukweli ni tofauti na hiki ulichoandikaInabidi Mbowe akupe nishani kwa jinsi unavyojitahidi kufufua hamasa ya ukuta hapa jamvini.
Lakini ukweli ni kuwa lile ahirisho limerudisha mambo mengi sana, na ya muhimu hatua hamsini nyuma.
Na ukiunganisha na ile gia iliyobadilika wakati wa itisho la kulinda kura (na watu wameathirika nalo na kushuka morali).
Kuna siku chadema itahitaji mass support kubwa kwa ajili ya swala fulani...hapo ndo mtakapojua chadema kachemsha...
"Never cry wolf..."
Nazungumzia ile ya kwanza. Acha hiyoHapana huyo sio nyau huyo ni simba anapokea kibano toka kwa jogoo