Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Hii sredi imenifungua sasa. Nimegundua changamoto zifuatazo:
1. Kuna matatizo ya kiufundi na elimu duni kwa watumiaji -Nadhani hoja ya msingi hapa iwe ni kuboresha na kuimarisha utoaji elimu, maana hakuna teknolojia isiyokuwa na changamoto zake
2. Kuna tatizo la gharama za mashine kwa kuwa TRA imetoa exclusive rights kwa wakala maalum. Pengine dhamira ya hili inaweza kuwa ni nzuri (kudhibiti uchakachuzi) lakini hili linahitaji kuangaliwa upya. Udhibiti wa bei ni jambo la msingi.
3. Inaonekana mashine hizi zinawabana wafanya biashara kutokwepa kodi. Kama tatizo ni kwamba kodi imekuwa kali nadhani ni bora waweke bayana, badala ya kupindisha hoja. Maana kukwepa kodi si jambo la kizalendo hata kidogo!.
Najaribu kutafakari ukubwa wa laki saba (mara moja kwa miaka) kwa hawa wafanyabiashara wa Kariakoo..
Waungwana tulipe kodi tujenge nchi. Hao wanaoibomoa kwa kutafuna kodi zetu dawa yao ipo jikoni!
Rished Bade ni mchaga..? Mama Masele ni mchaga...? Au kwa sababu mlimuona Kitilya kakaa pale juu mkaona kila mtu ni mchaga..? Kachunguze TRA ujue nafasi nyeti zimeshikwa na watu gani then uje hapa kuongea..
Hii sredi imenifungua sasa. Nimegundua changamoto zifuatazo:
1. Kuna matatizo ya kiufundi na elimu duni kwa watumiaji -Nadhani hoja ya msingi hapa iwe ni kuboresha na kuimarisha utoaji elimu, maana hakuna teknolojia isiyokuwa na changamoto zake
2. Kuna tatizo la gharama za mashine kwa kuwa TRA imetoa exclusive rights kwa wakala maalum. Pengine dhamira ya hili inaweza kuwa ni nzuri (kudhibiti uchakachuzi) lakini hili linahitaji kuangaliwa upya. Udhibiti wa bei ni jambo la msingi.
3. Inaonekana mashine hizi zinawabana wafanya biashara kutokwepa kodi. Kama tatizo ni kwamba kodi imekuwa kali nadhani ni bora waweke bayana, badala ya kupindisha hoja. Maana kukwepa kodi si jambo la kizalendo hata kidogo!.
Najaribu kutafakari ukubwa wa laki saba (mara moja kwa miaka) kwa hawa wafanyabiashara wa Kariakoo..
Waungwana tulipe kodi tujenge nchi. Hao wanaoibomoa kwa kutafuna kodi zetu dawa yao ipo jikoni!
vijijiniHata mjini tupo wilayani.
Sikuelewi unataka kusema nini.
vijijini
Huko ndiko zinakotoka neema zote za mijini. Bila vijiji mjini tutakula nini? kokoto?