nyumba ya jirani inawaka moto....badala tujiandae kuuzima tanzania inajimiminia petrol kuukoleza. Mombasa na Nairobi si salama tena kwa majirani zetu Kenya kutokana na ukarimu wa mda mrefu kwa kuwaruhusu wasomali kumiliki baadhi ya maeneo nchini mwao kwa wingi. hali ikiwa tete kwa wenzetu hapa kwetu kila uchao mamia ya wasomali wanapewa uraia... hata kufikia kutangaza kwamba sasa Rukwa ni milki yao...eeeh God wanausalama wako wapi kuweni ni maono ya mbali, hawa watu watatusumbua...rushwa na udini ndivyo hasa chanzo eti ili wawe wengi hao wenzetu... jamani vyombo vya usalama acheni kukalia siasa angalieni usalama wa leo na wa kesho wa nchi yetu. fanyeni kazi kwa uzalendo wasomali watakapoanza kutudhulu hawatachagua hata wewe leo unayepokea rushwa kuwapa uraia utaangamia.
enyi watumishi wa kada husika endeleeni kushindana kununua magari ya kifahari na kupokea rushwa kule nchi yenu inaporwa kesho hayo majumba na magari yenu vitaporwa. ilov tzie
enyi watumishi wa kada husika endeleeni kushindana kununua magari ya kifahari na kupokea rushwa kule nchi yenu inaporwa kesho hayo majumba na magari yenu vitaporwa. ilov tzie