Jamani jamiiforum ni kisima cha maarifa. Japokuwa mm hutoa comments za mizaa kwa wingi lkn kuna vitu naviokota humu.
Ktk moja ya nyuzi zinazoongelea kesi ya uhaini ya bw. Lisu kuna mdau katoa comment inayoeldzea kisa cha mzee Mayalla, babake Pascal Mayalla kuwa ni miongoni mwa watu walioshiriki ktk jaribio la kutaka kumpindua mwl. Nyerere akiwa pamoja na akina Hans Pope. Yaliyomkuta Hans Pope na Mayalla mwenyewe mm sikuyazingatia..
Ndipo sasa mm nikaanza kujiuliza kwamba hii inaweza kuwa ndiyo sababu ya mtoto wa mzee Mayalla, Pascal Mayalla kunyimwa uteuzi?? Mtoto wa mzee Mayalla amejaliwa kipaji cha uchambuzi na udadavizi wa masuala ya kisiasa na ni mwanasheria, iweje wateuliwe akina "fidodido" halafu yeye akaachwa?
Pengine ni karma inamtesa mtu huyu??
Ktk moja ya nyuzi zinazoongelea kesi ya uhaini ya bw. Lisu kuna mdau katoa comment inayoeldzea kisa cha mzee Mayalla, babake Pascal Mayalla kuwa ni miongoni mwa watu walioshiriki ktk jaribio la kutaka kumpindua mwl. Nyerere akiwa pamoja na akina Hans Pope. Yaliyomkuta Hans Pope na Mayalla mwenyewe mm sikuyazingatia..
Ndipo sasa mm nikaanza kujiuliza kwamba hii inaweza kuwa ndiyo sababu ya mtoto wa mzee Mayalla, Pascal Mayalla kunyimwa uteuzi?? Mtoto wa mzee Mayalla amejaliwa kipaji cha uchambuzi na udadavizi wa masuala ya kisiasa na ni mwanasheria, iweje wateuliwe akina "fidodido" halafu yeye akaachwa?
Pengine ni karma inamtesa mtu huyu??