Eeeh! Kumbe ndiyo maana mwanabodi Pascal Mayalla hapati uteuzi!!!!?

Eeeh! Kumbe ndiyo maana mwanabodi Pascal Mayalla hapati uteuzi!!!!?

Ndipo sasa mm nikaanza kujiuliza kwamba hii inaweza kuwa ndiyo sababu ya mtoto wa mzee Mayalla, Pascal Mayalla kunyimwa uteuzi?? Mtoto wa mzee Mayalla amejaliwa kipaji cha uchambuzi na udadavizi wa masuala ya kisiasa na ni mwanasheria, iweje wateuliwe akina "fidodido" halafu yeye akaachwa
Kosa lako kuu lio haa haa, kwenye hii mistari miwili na nusu.

Hayo ya Mzee si lolote; kama huyu mtoto angekuwa na chochote cha maana ndani yake.

Ukiona chama kilichokuwa hovyo kama CCM ilipofikia; na mtu kama huyo bado hawezi kuingia ujue tatizo ni la huyo huyo mhusika; wala siyo la mtu mwingine yeyote.

Hiyo elimu unayomsifu kuwa nayo; hivi kweli matarajio yetu yameshuka hadi chini kiasi hiki?
Ni uchambuzi gani uliokufanya wewe ukausoma na ukatoka kweli na kuridhishwa na kilicho wasilishwa. Labda chukua muda kidogo, mkuu 'sexless', ili unishirikishe nami kwa kuchagua tu makala moja iliyokua msisimko wa kumsoma huyu jamaa. Magazeti yake mengi yamo humu, chukua mfano tu wa moja lililio kusisimua, na uliwasilishe hapa.
Naahidi nitalipa muda wa kulisoma na kulichambua, ili nami niweze kumsifu huyu mkuu.
 
Je huyo Pascal anaweza nini hadi ateuliwe? je hata kama ni mtu duni anaweza hata kuua ili apate uteuzi kama akina naniliu?
Anaweza kusifu kama chawa wengine

Mayalla hana kibali. Sad party ni anazeeka akiwa hana kitu . Nadhan ajikite na investment zake …. Kwa sasa



Uchawa na neutrality hazitomlipa

Japo ni mtu mwema but he is too neutral
Ana umma na kupuliza
Ni jamii ya ZZK
 
Jamani jamiiforum ni kisima cha maarifa. Japokuwa mm hutoa comments za mizaa kwa wingi lkn kuna vitu naviokota humu.

Ktk moja ya nyuzi zinazoongelea kesi ya uhaini ya bw. Lisu kuna mdau katoa comment inayoeldzea kisa cha mzee Mayalla, babake Pascal Mayalla kuwa ni miongoni mwa watu walioshiriki ktk jaribio la kutaka kumpindua mwl. Nyerere akiwa pamoja na akina Hans Pope. Yaliyomkuta Hans Pope na Mayalla mwenyewe mm sikuyazingatia..

Ndipo sasa mm nikaanza kujiuliza kwamba hii inaweza kuwa ndiyo sababu ya mtoto wa mzee Mayalla, Pascal Mayalla kunyimwa uteuzi?? Mtoto wa mzee Mayalla amejaliwa kipaji cha uchambuzi na udadavizi wa masuala ya kisiasa na ni mwanasheria, iweje wateuliwe akina "fidodido" halafu yeye akaachwa?

Pengine ni karma inamtesa mtu huyu??
Kama ni kweli inasikitisha maana najiuliza pamoja na uchambuzi wake makini, iweje mtu kama Steve Nyerere anachaguliwa kuwa mshauri wa rais na si mtu kama Pascal Mayalla?
 
Anaweza kusifu kama chawa wengine

Mayalla hana kibali. Sad party ni anazeeka akiwa hana kitu . Nadhan ajikite na investment zake …. Kwa sasa



Uchawa na neutrality hazitomlipa

Japo ni mtu mwema but he is too neutral
Ana umma na kupuliza
Ni jamii ya ZZK
Kwani hajajikita na investment au ukijikita na investment huna ruhusa ya kufanya kama anachofanya braza PASCO!?
 
Wengi wao ni chawa na kila waambiwalo hawahoji ndio maana wapo kwenye deep state wale wanaojitambua ni ngumu kuwepo
 
..hii habari sio ya kweli.

..Mzee wake Pasco hakuwahi kutiwa hatiani, wala kushtakiwa kwa kosa la uhaini.

..Nakushauri ufute mada yako ili kulinda hadhi ya jukwaa letu.
Mayalla sr alistaafu na Waziri wa mambo ya ndani Mzee Mwinyi ambaye baada ya miaka michache akawa Rais wa Zanzibar kisha Rais wa JMT

Pascal hana shida yoyote na Serikali wala CCM na kama Lowassa angeshinda kupitia Chama chochote 2015 basi P ndiye angemrithi Salva pale Magogoni

Siasa ni sayansi 😁😁🙏
 
Ukiona chama kilichokuwa hovyo kama CCM ilipofikia; na mtu kama huyo bado hawezi kuingia ujue tatizo ni la huyo huyo mhusika; wala siyo la mtu mwingine yeyote.
Hakika Mkuu,

Nilishawahi piga stori mahali, na nikasema kuwa: Kwa mazingira ya CCM jinsi yalivyo sahiv na jinsi watu wanavyopata uteuzi bila hata jasho sana, iweje Pascal Mawalla asionekane na ni mtu wa muda tu kisiasa hapa Tz?

Tatizo liko kwa Pascal mwenyewe,
 
Paschal aliishasema hapongezi ili kuteuliwa.

Kuna maisha nje ya teuzi, kuitumikia nchi siyolazima uteuliwe au uchaguliwe unaweza kuwa mlipa kodi tu ndio ukawa mchango wako kwa taifa.
 
Huwa mnatumia vigezo gani kusema anastahili kuteuliwa. Mbona mnalazimisha sana hili jambo wakati mambo ya yeye kufanya ni mengi ukiachana na teuzi.
 
Back
Top Bottom