nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Aiseeeee,alaaaaaaaaaaa
so wat so zatso what?
Wakina nan hao wanatumia
mi nafikiri hata ku comment hapa umepoteza muda wako wa kuingiza helahivi ishu zao sie watanzania wa kawaida zinatuhusu nini?
kila mtu apambane na hali yake mkono uende Kinywani
Wasafi tv and radio share kubwa ni ya Joseph kusaga,Diamond ana share kiasiwasafi an clouds tv, namfundi waliofunga mitambo ni wa clouds bado kuna mijitu inalazimisha eti asilimia mia tv ni diamond.
kuna watu watakushukia hapo kama mwewe,wanaamini ndomo ndiye owner,nawaambia ana asilimia nane ya share,wanatoaa pooovuuuuuuu,umeona sasa Don lenyewe a.k.a mzee tyson katumia hadi satelite yake kuwaweka hewani.Wasafi tv and radio share kubwa ni ya Joseph kusaga,Diamond ana share kiasi
Unapungukiwa nini ukitulia chini halafu ukaandika mambo yako kwa usahihi na ufasaha zaidi ?wasafi an clouds tv, namfundi waliofunga mitambo ni wa clouds bado kuna mijitu inalazimisha eti asilimia mia tv ni diamond.
nahisi roho yako tena ya korosho ndo inatoka?is it a coincidence?mbona hawakutumia ya IPP?why ya clouds?halafu tuseme basi ni 100 percent ya bwana ndomo,watu umepata lift ya satelite halafu kutukanana hadharani hivyo tena kwenye sensitive issue ya tamasha linaloingiza mamilioni ya pesa?Sawa na tigo kuungwa kwenye mnara wa voda vitu vya kawaida tu hivyo naona vinakutoa roho
Kwa sasa Transponder Moja unaweza weka ata channels 10+kwa kuwa WASAFI NA MAWINGUNI ni kama Chui na Simba hiyo aina neno!wote ni dugu moja!!!Kusaga ndo Mawingu Kusaga ndo Wachafu FM/TVhapa ana watesa ndugu zake kwakuwa ndo share holders wakubwa wa mawingu .ila aina neno Mbwa kala MbwaAiseeeee,alaaaaaaaaaaa
View attachment 945269
atleast wewe umeelewa,bado kuna mijitu inabisha hiyo wasafi media siyo ya kusagaKwa sasa Transponder Moja unaweza weka ata channels 10+kwa kuwa WASAFI NA MAWINGUNI ni kama Chui na Simba hiyo aina neno!wote ni dugu moja
Wewe na shilawandu ni watu wa hovyo.Aiseeeee,alaaaaaaaaaaa
View attachment 945269
Upumbavu wako ndo unakusumbua why tigo waunge kwenye mnara wa voda na sio halotel unadhani watu huwa hawabadiliki kimaisha unakalili mno kwamba ukiwa masikini utakufa masikini tu Fanya kazi ng'ombe wewenahisi roho yako tena ya korosho ndo inatoka?is it a coincidence?mbona hawakutumia ya IPP?why ya clouds?halafu tuseme basi ni 100 percent ya bwana ndomo,watu umepata lift ya satelite halafu kutukanana hadharani hivyo tena kwenye sensitive issue ya tamasha linaloingiza mamilioni ya pesa?
kawaambie na wenzako kwamba ndomo anamiliki asilimia nane tu
Aslimia 8 umezijuaje au umeolewa kule ? Jinga kweli fatilia maisha yako watatatua marinda hayo jichunge mbwa weweUpumbavu wako ndo unakusumbua why tigo waunge kwenye mnara wa voda na sio halotel unadhani watu huwa hawabadiliki kimaisha unakalili mno kwamba ukiwa masikini utakufa masikini tu Fanya kazi ng'ombe wewe