paul milya
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 285
- 93
Habari ya jioni wadau wenzangu! Nimekuwa sionekani jukwaani kutokana mihangaiko ya hapa na pale! Hakika bandiko hilo hapo juu ni habari niliyopata toka kwa raia wa karibu kabisa na raia wa karibu kabisa na Waziri Mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa ya kwamba Mh huyu atafanya (atatoa) maamuzi magumu kabisa yaliyo nafsini mwake baada ya kufanyika kwa mazishi ya aliyekuwa Askofu Thomas Laizer wa Kanisa la KKKT aliyefikwa na mauti tar 7/02/2013 na mazishi ni kesho kutwa hapo Kanisa la KKKT mjini kati na bila shaka atakuwepo hapo akijumuika na ndg,jamaa na hata marafiki!
Na baada ya hapo na mpaka tarehe tajwa nyepesi hizo zinasema atatoa maamuzi hayo kama nilivyokwisha kusema! Itakuwa ni maamuzi yake ya kwamba asimame wapi ama abaki wapi! Nikaona ngoja nisifikie kusikia na kubaki nayo ila nami niwadodose wanajamvi kwani Mi binafsi naikubali jamiiforums ya kwamba ni kitovu tosha kwa habari hapa Nchini! Hapapitwi na chochote na hili nalikubali!
COPY
Sokoine
Mungi
Ndallo
Dark City
Na baada ya hapo na mpaka tarehe tajwa nyepesi hizo zinasema atatoa maamuzi hayo kama nilivyokwisha kusema! Itakuwa ni maamuzi yake ya kwamba asimame wapi ama abaki wapi! Nikaona ngoja nisifikie kusikia na kubaki nayo ila nami niwadodose wanajamvi kwani Mi binafsi naikubali jamiiforums ya kwamba ni kitovu tosha kwa habari hapa Nchini! Hapapitwi na chochote na hili nalikubali!
COPY
Sokoine
Mungi
Ndallo
Dark City