Edward Moringe Sokoine 1938-1984 | Historia na wasifu wake

1983 Mwl Nyerere alienda kwny Mapumziko Butiama Nchi akaachiwa Edward moringe enzi hizo PM ndie alikuwa pia Makamu wa kwanza wa Rais!
Mwl alikatiza likizo, jamaa alikamata na kutupa ndani wale Wazee wafadhili wa TANU waliomfadhili mpaka Nyerere Mwenyewe kina Mzee Rupia, kuna watu walikuwa wanamwaga sukari, Mchele na kuna wahindi walifikia mpaka kutupa pesa baharini pale salenderbridge!
Watu wakakaa kama kamati April 12 Msouth Africa akakwepa magari yote ya Msafara akaenda kumgonga kwa "bahati mbaya" kwa mbele lakini aliekufa ni PM aliekuwa kakaa siti ya nyuma na amefungwa Mkanda! Bodyguard na Dereva wakapona kwa "bahati nzuri" japo ndio walikuwa wamekaa mbele!
Ile mtu hata Mwl alikuwa anazima sigara.
Kuna siku ukweli utajulikana, nakumbuka kuona mabunda ya noti nyekundu yakiwa yametupwa kandoni mwa ziwa la Bernatt, semi trailer za KAUDO na KAUMA enzi hizo zilikuja kumwaga bidhaa kwenye msitu wa miquinine
 
1983 Mwl Nyerere alienda kwny Mapumziko Butiama Nchi akaachiwa Edward moringe enzi hizo PM ndie alikuwa pia Makamu wa kwanza wa Rais!
Mwl alikatiza likizo, jamaa alikamata na kutupa ndani wale Wazee wafadhili wa TANU waliomfadhili mpaka Nyerere Mwenyewe kina Mzee Rupia, kuna watu walikuwa wanamwaga sukari, Mchele na kuna wahindi walifikia mpaka kutupa pesa baharini pale salenderbridge!
Watu wakakaa kama kamati April 12 Msouth Africa akakwepa magari yote ya Msafara akaenda kumgonga kwa "bahati mbaya" kwa mbele lakini aliekufa ni PM aliekuwa kakaa siti ya nyuma na amefungwa Mkanda! Bodyguard na Dereva wakapona kwa "bahati nzuri" japo ndio walikuwa wamekaa mbele!
Ile mtu hata Mwl alikuwa anazima sigara.

Mkuu Pohamba kwenye rangi nyekundu ni makamu wa kwanza au wa pili, vipi kuhusu nafasi au cheo cha presidaa wa zenj by then? ufafanuzi wako ni muhimu mkuu
 
Mkuu Pohamba kwenye rangi nyekundu ni makamu wa kwanza au wa pili, vipi kuhusu nafasi au cheo cha presidaa wa zenj by then? ufafanuzi wako ni muhimu mkuu
pohama yuko sahihi,waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais hicho cheo kilenda mpaka kwa warioba nadhani kabla hakijawa cheo kimoja
 
bomu limeshapasuka,mabepari wanahangaika,wahujumu wanatapatapa,milanguzi nayo iko ndani...
nilikuwa na wake wawili,mmoja nimeshamuacha ,sababu ya matatizo maisha yalipanda hhhh maisha magumu eheeh
sasa vita imetangazwa jamaaaa
wananchi wote tuwe imara
 
pohama yuko sahihi,waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais hicho cheo kilenda mpaka kwa warioba nadhani kabla hakijawa cheo kimoja
Kipindi cha Nyerere Makamu wa kwanza alikuwa ni rais wa Zanzibar na wa pili alikuwa ni waziri mkuu na kipindi cha Mwinyi makamu wa kwanza alikuwa ni waziri mkuu na wa pili alikuwa ni rais wa Zanzibar, walikuwa wanaangalia rais anatoka upande upi wa muungano ili makamu wa kwanza atoke upande wa pili.
 
Mwema hakumbukwi ila m'baya.

Na ndiyo maana hata ule mnara wa kumbukumbu yake ulijengwa hovyohovyo kama vile walilazimishwa wakati kuna fedha nyingi inaelekezwa kwenye matumizi ya hovyo badala ya kuelekezwa kwenye mnara wa kumbukumbu ya mpambanaji na kila siku wanapita hapo kwenda na kurudi toka Dodoma...tujiulize ni mabaya gani wanayopambana nayo kama mazuri ya Sokoine hawayafanyi kwa vitendo?
 
Na ndiyo maana hata ule mnara wa kumbukumbu yake ulijengwa hovyohovyo kama vile walilazimishwa wakati kuna fedha nyingi inaelekezwa kwenye matumizi ya hovyo badala ya kuelekezwa kwenye mnara wa kumbukumbu ya mpambanaji na kila siku wanapita hapo kwenda na kurudi toka Dodoma...tujiulize ni mabaya gani wanayopambana nayo kama mazuri ya Sokoine hawayafanyi kwa vitendo?
Watu waliofanya mambo mengi ya hovyo kila kitu wanataka kiitwe majina yao lakini huyu mzalendo mpambanaji zaidi ya barabara na chuo cha kilimo Morogoro sijawahi ona popote pengine alipoenziwa (nakubali kukosolewa)historia yake inafinyangwa na habari zake ni nadra kusikia zikisemwa
 
Yani ilikuwa balaa. Nakumbuka Nilikuwa darasa la tatu Jamaa alikuwa nouma wadau walimwaga unga sukari mchele mtoni. Nilishuhudia kwa macho yangu mfanyabiashara flan asili ya asia akikimbia milimani kwenda kuficha hela yake.
 
Back
Top Bottom