nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete anagombea Urais ilijulikana wazi kuwa kama angepata Urais basi Lowassa Ngoyai Edward angekuwa Wazir Mkuu- "YAKATIMIA"
Au kama Prof Mark Mwandosya angepata Urais basi Dr Harrison Mwakyembe angeukwaa Uwazir mkuu- "HAYAKUTIMIA"
Ili kutihibitisha hili- Wakati Dr Harrison anakabidhiwa jukumu la kuifatilia sakata lile mpaka tupo njia panda (Richmond) alimwambia Lowasa ajitetee- na Mkuu huyu wakati anajitetea alisema " TATIZO NI HUU UWAZIRI MKUU"
Hii ni kumaanisha kuwa ilikuwa ni Vita ya Madaraka ya Utendaji mkuu kabisa wa serikali na Lowasa alijiona anaonewa WIVU.
UHALISIA......
Kumekuwa na dhana kwa baadhi ya watu kuwa Lowasa ndie suluhisho la MATATIZO ya WATZ na ni mtu mwenye MAAMUZI MAGUMU
KULIKO KIONGOZI YEYOTE!!
DR MWAKYEMBE kakabidhiwa Rungu (UWAZIRI KAMILI) anaonyesha uwezo wake wa utendaji kazi kwa kufanya kile kilichokuwa kinafichwa kwa kuwekwa chini ya fulani.
JE HATUJIONI KUWA SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUAMINI NCHI HII INAVIONGOZI WENGI MAHIRI NA WENYE MAAMUZI YENYE TIJA KWA TAIFA NA madailiko hayaletwi na mtu mmoja tu ni SISI SOTE NDIO TUTAIBADLISHA TZ pia yatupasa tubadilishe ule msimamo MGANDO uliopo na FIKRA zetu zilizopo kwenyekijichupa cha MUCOLYNE kuwa Suluhisho ni huyo jamaa - Lowasa..........!!?
Prof. Mwandosya angepataje wakati kwa CCM ilikuwa zamu ya Rais Muislamu toka Bara? sasa huo wivu
wa kimadaraka ulitokea wapi? Hizi story ni za kuineemesha CCM? Story za Alfa Ulela Ulela?
Tuache haya Mambo ya kuwekeana fitina na visa vya uongo, CCM Central Committee ilikuwa na watu
wawili tu Salim Ahmed Salim na Jakaya Mrisho Kikwete; Hapo ndipo S.A.Salim aliposemwa Vibaya
kulikuwa hakuna Prof. Pale