Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 5,998 Jul 11, 2015 #1,881 Tupo hapa mkuu.Kwani ameshakatwa?
707 Member Joined Jul 6, 2015 Posts 23 Reaction score 1 Jul 11, 2015 #1,882 Ngoja niamie Team membe taratibuu
Jay Milionea JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 1,185 Reaction score 154 Jul 11, 2015 #1,883 Rogart Ngaillo said: Ha ha ha haaaaaaa.... Team Lowa lowaaaa, hawaamini kilichotokea...wengi wao wanadhani wako ndotoni! teh teh teh... Click to expand... Hahahahahahah waambie kumeshakucha sasahv wajianadae kwenda kunywa supu zile fedha zilizobakia
Rogart Ngaillo said: Ha ha ha haaaaaaa.... Team Lowa lowaaaa, hawaamini kilichotokea...wengi wao wanadhani wako ndotoni! teh teh teh... Click to expand... Hahahahahahah waambie kumeshakucha sasahv wajianadae kwenda kunywa supu zile fedha zilizobakia
Jodoki Kalimilo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 12,668 Reaction score 11,333 Jul 11, 2015 #1,884 Nimeingia kwenye facebook page yao baada ya hizi fununu, naona hakuna updates zozote kwa masaa 19
V vonmadiwa Member Joined Apr 20, 2015 Posts 89 Reaction score 11 Jul 11, 2015 #1,885 Ukawa tunalicheki hili gemu kwa umakini mkubwa,
K KMANGA JF-Expert Member Joined Jan 30, 2014 Posts 674 Reaction score 369 Jul 11, 2015 #1,886 Gaza and Israel said: Nimefurahi sana EL kuondolewa. Ila sijafurahi kuona jina la Membe. Click to expand... Membe na Lowasa ilitakiwa wafutwe kabisa kwenye mzunguko wa kwanza. Kikwete na familia yake wana mkono katika hili jambo na hakuna asiyeliona.
Gaza and Israel said: Nimefurahi sana EL kuondolewa. Ila sijafurahi kuona jina la Membe. Click to expand... Membe na Lowasa ilitakiwa wafutwe kabisa kwenye mzunguko wa kwanza. Kikwete na familia yake wana mkono katika hili jambo na hakuna asiyeliona.
The Businessman JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 7,397 Reaction score 9,263 Jul 11, 2015 #1,887 Jile79 said: Sidhani km utapita mwaka huu kabla hajajifia! Anaamini ktk kununua uongozi na uongo wa akina tb Joshua na tunguli za akina kingunge! Click to expand... Wapi Pasco Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Jile79 said: Sidhani km utapita mwaka huu kabla hajajifia! Anaamini ktk kununua uongozi na uongo wa akina tb Joshua na tunguli za akina kingunge! Click to expand... Wapi Pasco
Jay Milionea JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 1,185 Reaction score 154 Jul 11, 2015 #1,888 Jodoki Kalimilo said: Nimeingia kwenye facebook page yao baada ya hizi fununu, naona hakuna updates zozote kwa masaa 19 Click to expand... Hahahahaha kibarua kimekata gafla mkuu sasa utaona updates zioi wakati wafanyakazi wamefukuzwa kazini,mnani ajitolee kazi isiyokuwa na malipo?
Jodoki Kalimilo said: Nimeingia kwenye facebook page yao baada ya hizi fununu, naona hakuna updates zozote kwa masaa 19 Click to expand... Hahahahaha kibarua kimekata gafla mkuu sasa utaona updates zioi wakati wafanyakazi wamefukuzwa kazini,mnani ajitolee kazi isiyokuwa na malipo?
S singidadodoma JF-Expert Member Joined Nov 11, 2013 Posts 4,394 Reaction score 1,538 Jul 11, 2015 #1,889 Mmawia Orijino said: A.k.a wachumia matumbo, imekula kwao ajira imezimika gafla Click to expand... Ndio madhara ya ajira za mafisadi bora mie niliyeamua kuwa mkulima tunavuna mahindi na alizeti now!
Mmawia Orijino said: A.k.a wachumia matumbo, imekula kwao ajira imezimika gafla Click to expand... Ndio madhara ya ajira za mafisadi bora mie niliyeamua kuwa mkulima tunavuna mahindi na alizeti now!
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Jul 11, 2015 #1,890 mwanga lutila said: Wapi Pasco Click to expand... Haaaaaa sijui ana hali gani na yee Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
R RANGIMO Member Joined Jun 3, 2015 Posts 18 Reaction score 3 Jul 11, 2015 #1,891 Team lowasa siku ya kuvunja kamati mtuhabarishe
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,271 Jul 11, 2015 #1,892 Hii Timu lowasa ilivyokuwa na jeuri ya pesa ilifikia mahali walikuwa tayari hata kubet lowasa wanapita. Ukiwabishia wanakwambia weka eflu1 yeye anaweka milioni1. Nimesha kula milioni20 kutoka kwa al shabab bashe baada ya mm kuweka elfu20 tu.
Hii Timu lowasa ilivyokuwa na jeuri ya pesa ilifikia mahali walikuwa tayari hata kubet lowasa wanapita. Ukiwabishia wanakwambia weka eflu1 yeye anaweka milioni1. Nimesha kula milioni20 kutoka kwa al shabab bashe baada ya mm kuweka elfu20 tu.
KV LONDON JF-Expert Member Joined Jul 18, 2012 Posts 903 Reaction score 242 Jul 11, 2015 #1,893 Bado tupo mbona
boma2000 JF-Expert Member Joined Oct 18, 2009 Posts 3,321 Reaction score 318 Jul 11, 2015 #1,894 Team Lowassa = Mafia Group Kwisha kabisa kifo cha mende
Yusuph Wernery JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 316 Reaction score 147 Jul 11, 2015 #1,895 Duuuu Lowasa out
K karim mikidadi Member Joined Jul 9, 2015 Posts 37 Reaction score 8 Jul 11, 2015 #1,896 Thafi thanaaaaa
Jodoki Kalimilo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 12,668 Reaction score 11,333 Jul 11, 2015 #1,897 Mmawia Orijino said: Hahahahaha kibarua kimekata gafla mkuu sasa utaona updates zioi wakati wafanyakazi wamefukuzwa kazini,mnani ajitolee kazi isiyokuwa na malipo? Click to expand... Nilikuwa napita huku na kule kufanya verification of information nakuta pamenuna
Mmawia Orijino said: Hahahahaha kibarua kimekata gafla mkuu sasa utaona updates zioi wakati wafanyakazi wamefukuzwa kazini,mnani ajitolee kazi isiyokuwa na malipo? Click to expand... Nilikuwa napita huku na kule kufanya verification of information nakuta pamenuna
youngkato JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 3,638 Reaction score 3,641 Jul 11, 2015 #1,898 kibate said: Wacha akatwe tuuu!! Click to expand... Maana hatuna namna
All TRUTH JF-Expert Member Joined Nov 20, 2011 Posts 5,452 Reaction score 2,571 Jul 11, 2015 #1,899 Pole yao
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,512 Jul 11, 2015 #1,900 Tz bado tuna safari ndefu sana. Na wewe ni team gano?