sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Lowassa anajivunia mtaji wa watanzania kwa maana asilimia kubwa wanaona huyu ndo suluhisho lao kwaiyo wala msione vibaya watanzania wanavyomuunga mkono,Hii ndo safari ya matumaini inabidi tuikubali na kuipokea kwa mikono miwili
Huu ni msimamo wa NSSF au wa kwako?