Namshauri lowasa akate rufaa haraka sana. Kwani walishamkata tangu jana. Na wameondoka na jina la augustino ramadhan kuwa ndio rais. Na hiyo hivyo vikao ni danganya toto tu kwan mgombea wanae. Lowasa lijue hilo mapema. Lakin sisi tunamtaka lowasa kama wao wana mtu wao basi wabaki na chama chao na mtu wao na sisi na mtu wetu lowasa tutajua la kufanya.
Sisi tujadili anakatwa au akatwi...kenya wameleta reli za mwendo kasi huko...
Katika pitapita yangu mitaa ya mjini jana wakat msanii anasindikizwa uwanja wa ndege kuelekea dodoma yupo jamaa ni mfanyabiashara wa madini alituelezea kuwa jina la LOWASA limeshakatwa na wameamua kumpa AUGUSTINE RAMADHANI.
Haikuniingia akilini kama ccm na utashi wao wakamuacha mtu anayependwa na wananchi, nikawaza neno moja tu kumuomba Mungu afanye muujiza wake pale kikwete atakaposimama na kutaka kutangaza ataje jina la LOWASA kama atatamka vinginevyo namuomba sana LOWASA ajiunge na chama chochote wananchi tumpe nchi.
Nayasema haya kwa sababu ukiangalia sehemu zote ccm ilipopigwa,iwe kwa mwenyekiti wa mtaa, diwani au mbunge ni pale walipomkataa anayetakiwa na wananchi na kumuingiza asiyetakiwa, na katka hili wakikata jina la LOWASA, LOWASA aingie chama chochote achukue nchi.
Umeongea mkuu..lowasa ndiye chaguo la watanzania..hilo chaguo lao wapeleke hukooo..
Namshauri lowasa akate rufaa haraka sana. Kwani walishamkata tangu jana. Na wameondoka na jina la augustino ramadhan kuwa ndio rais. Na hiyo hivyo vikao ni danganya toto tu kwan mgombea wanae. Lowasa lijue hilo mapema. Lakin sisi tunamtaka lowasa kama wao wana mtu wao basi wabaki na chama chao na mtu wao na sisi na mtu wetu lowasa tutajua la kufanya.
maybe awe rais wa waendesha bodaboda jamani jamani hivi kama kweli watanzania wanampenda namna hii kwa nini atumie nguvu kubwa namna hii kuingia magogoni
Namshauri lowasa akate rufaa haraka sana. Kwani walishamkata tangu jana. Na wameondoka na jina la augustino ramadhan kuwa ndio rais. Na hiyo hivyo vikao ni danganya toto tu kwan mgombea wanae. Lowasa lijue hilo mapema. Lakin sisi tunamtaka lowasa kama wao wana mtu wao basi wabaki na chama chao na mtu wao na sisi na mtu wetu lowasa tutajua la kufanya.
Lowassa ndiye Rais mtarajiwa, hakuna sababu yeyote itakayopelekea jina lake likatwe.
Hiyo nguvu unayoiongelea ni ipi? ndio ujue kuwa nguvu uliyoiona ni nguvu ya umma..umma unamuhitaji ndio maana hamuishiwi la kusema.
Tuambie ufisadi wa Lowasa uko wapi..tupe vielelezo sio unaropoka tu hapa.
Lowassa ndiye Rais mtarajiwa, hakuna sababu yeyote itakayopelekea jina lake likatwe.
TAARIFA KWA 4U MOVEMENT DODOMA.
Habari, Wana 4u movement mliopo Dodoma na Watanzania wote wenye mapenzi mema na Edward Lowassa tunawaasa kutovaa T-shirt zozote za 4u movement au zenye jina la Edward Lowassa katika kipindi chote cha mikutano ya Chama.
Najua na kutambua hadi jana tarehe 07/07/2015 zaidi ya wana 4u movement 3600+ plus wamewasili Dodoma lakini wingi wetu usiwe sehemu ya kuwa chanzo cha vurugu ya Aina yeyote.
Tuna Taarifa za kuaminika kuna watu wenye mpango wa kutumia T-shirt zetu za 4u movement kufanya vurugu ndani ya Mji wa Dodoma kwa makusudi ili kuiondelea sifa ya utulivu na umakini wa Movement yetu. Yeyote atakae husika kufanya fujo au vurugu zozote kwa Makusudi huku akitumia jina letu tutakuwa msatari wa Mbele kumshughulikia.
Tunawaasa na kuwaomba wana 4umvt na Watanzania wote kuwa watulivu na wavumilivu na kuwapa nafasi Wajumbe wote wa vikao vya Maamuzi kwa kutii na kufuata kanuni za chama kufanya maamuzi kwa Utulivu maana ule wakati mabadiliko uliotabiriwa na Baba wa Taifa kuwa ukifika Basi mabadiliko tutayapata ndani ya CCM na tukikosa tutayapata nje ya ccm lakini ipo nafasi kubwa sana ya kuyapata Mabadiliko haya ndani ya CCM chini ya Balozi wetu wa 4u movement Mh Edward Lowassa.
Ahsanteni
Hemedy Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
# UTUMISHI
# UWAJIBIKAJI
# UMOJA
# UZALENDO