Habari zenu waungwana naona me ni mgeni kidogo wa jukwaa hili ila wengi wenu huwa tunakutana kule jukwaa la wataalamuna na lile la madali naomba tujihesabu humu tunao muunga mkono waziri mkuu alie jiuzuru Edward LOwassa....ili tukate mzizi wa fitina
Nawasilisha pamoja sana.