Wakuu,
Msafara wa lowassa umepita sasa hivi hapa magomeni mataa wanatokea kariakoo wanaelekea ilala.
Mwanzoni nilizani kuna bodaboda kagongwa na gari maanaa group kubwa la madereva bodaboda wamepita kwa mbwembwe (walikuwa wakipiga honivna kuinua matairi ya mbele ya bodaboda zao).ilinilazimu nisogee nione vizuri ndipo nilipoona msafara wa magari nyumba ya hizo bodaboda.
Huyu mheshimiwa anatisha sana. Yuko vizuri.