Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Mmhh katika wagombea wote, EL anatumia nguvu nyingi sana kuifikia ikulu, mtu kama huyu ni wa kumwogopa, mtu ambaye ili kuingia ikulu nguvu nyingi zinatumika zikiwemo pesa, na kampeni za kila aina ni hatari sana. Tukiachana na hizo tuhuma zote lakini kwa mwendo huu wenye hekima lazima tuwe na wasiwasi (honestly speaking)- mtasema mti mwema ndio unaopigwa mawe ila kwa hili lowassa anatumia nguvu na pesa nyingi sana, ccm wawe makini.
 
SAFARI ya matumaini kuelekea ikulu imewadia. Tulianza pamoja kwa umoja na tutamaliza pamoja kwa umoja. Tumaini letu ni kwa mgombea mwenye maamuzi. Njoooni hapa wana LOWASSA tupeane update kwa yanayojili tangu sasa mpaka magogoni.

pamoja sana kiongozi make sure jumamosi utakuwepo sheikh amri abeid itakuwa balaa
 
Yote tuseme lakini ikumbukwe kuwa siku ya kicheko kikuu ama kilio kikuu inazidi kukaribia.
 
Nashangaa sana wanao sema Lowasa anafaa kuwa rais,sijawahi kumsikia hata akiongea.Mmejuaje kuwa anafaa? Kiongozi unampima kwa maongezi yake(bungeni,mikutano ya hadhara n.k) nyie lowasa mmempima vip hadi muone kuwa anaweza
 
Nashangaa sana wanao sema Lowasa anafaa kuwa rais,sijawahi kumsikia hata akiongea.Mmejuaje kuwa anafaa? Kiongozi unampima kwa maongezi yake(bungeni,mikutano ya hadhara n.k) nyie lowasa mmempima vip hadi muone kuwa anaweza

Kupitia VIBARAKA wake,Guninita,Msindai,Mgeja,Selukamba nk.
 
Kama topic hapo juu inavyojitanabaisha. Kwa sasa kila sehemu hapa Tanzania ni Lowassa tu. Ujio wa tumaini la watanzania!

Tofauti na wagombea wengine ndani ya CCM, Lowassa hutajwa kwa sasa hivi everywhere, kuanzia ngazi ya familia, daladala, usafiri binafsi, maofisini, mashambani na kote, Lowassa anatajwa sana.

Hapo ndipo inapodhihiri kwamba, kweli Lowassa ni tumaini jipya la watanzania!

Ahsanteni sana Lowassians
 
Tumaini jipya kwa artificial Tanzanian not natural ones
 
SAFARI ya matumaini kuelekea ikulu imewadia. Tulianza pamoja kwa umoja na tutamaliza pamoja kwa umoja. Tumaini letu ni kwa mgombea mwenye maamuzi. Njoooni hapa wana LOWASSA tupeane update kwa yanayojili tangu sasa mpaka magogoni.

Safari ya Matumaini Hewa Imewadia,
Haya mambo ya kumtumainia binadamu mwenzako ndio yalitu-cost for 10years now.
 
Kama topic hapo juu inavyojitanabaisha. Kwa sasa kila sehemu hapa Tanzania ni Lowassa tu. Ujio wa tumaini la watanzania!

Tofauti na wagombea wengine ndani ya CCM, Lowassa hutajwa kwa sasa hivi everywhere, kuanzia ngazi ya familia, daladala, usafiri binafsi, maofisini, mashambani na kote, Lowassa anatajwa sana.

Hapo ndipo inapodhihiri kwamba, kweli Lowassa ni tumaini jipya la watanzania!

Ahsanteni sana Lowassians
Tumaini kwenu kwa nyie mliyofanywa vipofu
Poleni sana na hongereni kwa kununuliwa
 
Rais lowasa
Waziri mkuu chenge
Waziri wa fedha rostam
Waziri miundombinu karamagi

Naiona Tanzania yenye maziwa na asali hiyo hapo
 
Nashangaa sana wanao sema Lowasa anafaa kuwa rais,sijawahi kumsikia hata akiongea.Mmejuaje kuwa anafaa? Kiongozi unampima kwa maongezi yake(bungeni,mikutano ya hadhara n.k) nyie lowasa mmempima vip hadi muone kuwa anaweza


We nae bure kabisa..kiongozi anapimwa kwa kuongea!!!

Never seen....tulis povu likutoke vizur
 
SAFARI ya matumaini kuelekea ikulu imewadia. Tulianza pamoja kwa umoja na tutamaliza pamoja kwa umoja. Tumaini letu ni kwa mgombea mwenye maamuzi. Njoooni hapa wana LOWASSA tupeane update kwa yanayojili tangu sasa mpaka magogoni.
hiu inawezekana Tanzania tu mwizi ndo anapendwa
 
lowasa mimi ntakupa kura ukiniambia umeacha wizi.

Ngoja nivae kofia yake kwa muda; watanzania acheni kuokota maneno ya mtaani ukiwa na akili timamu lazima ujue tofauti kati ya mjasiriamali na mwizi. Mwizi gani hakamatwi toka enzi za nyerere? Naomba ieleweke mimi nimezaliwa entrepreneur na ntakufa nikiwa hivo. Kumbuka siyo mimi nilifungia kabatini azimio la arusha linalokaza kiongozi kuwa mjasiuamali au tajiri kwa hiyo pigeni kimya. Kwa ufupi nataka nioneshe watanzania kuwa umasikini ni dhambi tuukatae kwa nguvu zote. Kama unabisha nitajie kiongozi mmoja tu ambae siyo mfanyabiashara. This is the way I see.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom