Edward Lowassa special thread

Huyu fisadi anatakiwa asafishwe kwa kutumia sabuni inayoitwa Makongoro
 
Umenena vema Mkuu. CCM bila ya mafisadi inawezekana
 
Huyu fisadi anatakiwa asafishwe kwa kutumia sabuni inayoitwa Makongoro
Tena Makongoro anajitahidi kweli kuwasafisha Watanzania dhidi ya propaganda kuwa Lowasa anafaa. Lowasa hafai hata kwa chembe
 
haa haa mkuu vipi mtawakata na wale wafuasi wake waliojazana NEC na kamati kuu? maana huko wale wjumbe wa NEC na mkutano mkuu hawapumui mbele ya lowasa..
Lowasa hana wafuasi NEC na Kamati Kuu. Bali kuna watu wanaokula fedha zake ambao mwisho wa siku wanakuja kumgeuka
 




intimidation ndio nini
 
haa haa mkuu vipi mtawakata na wale wafuasi wake waliojazana NEC na kamati kuu? maana huko wale wjumbe wa NEC na mkutano mkuu hawapumui mbele ya lowasa..

kudhibiti hilo inabidi jina lisipenye kwenye 3 bora.
 
Kweli mkuu, NAWAKUBALI KWA SIASA ZA FITINA....toka enzi ya salim....Nimeona ile picha iliyotengenezwa ya yule mgombea anayetaka kudili na vibaka wa CCM.
Afu naona mnavyofitini itv kujitahid kurusha habari zenu kwa sana...
Nawakubali kwa fitna...

Siyo ITV peke yake na channel 10.
 
Ni waziri mkuu mstaafu mh. E. Lowassa ametua Songea muda huu akitumia usafiri wa chopa. Mapema tangu asubuhi mamia ya wanaccm walikuwa wakimiminika ktk office za ccm zilizopo S. Mjini kumsubiri rais huyo mtarajiwa.

Mji wa Songea umekumbwa na shamrashamra za ghafla kwa ajili ya mapokezi ya Lowassa. Kweli Lowassa ni shidaaaaa. stay tuned
 

Mjini biashara anayoiwekezea haipo? sijui atakufa akirejea dom?
 
Rais Kikwete amekuwa madarakani lkn sijawahi kushuhudia akipata mapokezi aliyoyapata Lowassa leo, umati ni mkubwa mno, barabara kuu ya kutoka airport haipitiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…