Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,476
- 34,354
Kama wapi? Kuanzisha mahakama ya mafisadi na kukataa kufukua makaburi hiyo inaitwaje? Hivi donor anapokuwa omba omba hiyo inaitwaje?Baadhi ya wanasiasa ni wanafiki sana.
Ukiona topic kama hizi ujue kuna jambo linataka lisijadiliwe
Mkuu tuliambiwa pesa za std gauge za ndani na nje zzzipo!
Tunakwenda Turkey kuomba nini?