Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Wanasiasa wanaweza kuimba pambio kanisan huku ni mwislamu na vile vile anaweza aimba kaswida huku ni mkiristo muda mwingi anawaza kutimiza malengo yake tu na si ya watu wote
Well said. Niliwaambia wenzangu wakati ule mpinzani wa kweli toka CCM kwenda opp. Ni yule atakaetofautiana na wenzake ki sera ndani ya CCM na kuamua atoke kwenda other side kwa ajili ya ku practice anachokiamini.Lowasa angeweza kukikuza Chama chochote proportionally kwa wakati ule anahama CCM. Tatizo kubwa la wanasiasa wetu wala si vyama ambacho wanaamua kujiunga navyo, bali huwa wanaamua kujiunga na opposition baada ya kuwa - denied some opportunities ndani ya CCM. Mrema alianza kuhangaika baada ya uteuzi wake wa mambo ya ndani kutenguliwa na kuwa waziri wa kazi. Lowasa naye alijiunga na opposition baada ya kukatwa CCM. Masha naye baada ya kukaa kijiweni bila kazi akajiunga na CDM. Ili kujenga upinzani imara inatakiwa mtu ajiuzulu madaraka yake bila matatizo na kujiunga na opposition- hii itathihirisha wazi tatizo la mtu kama huyo si cheo wala njaa bali ni kutoa ku- practise sera mbadala
Wanasiasa Lengo Lao Kubwa Ni Kubwa Ni Kushinda Uchaguzi Tu Basi. Yuko Tayari Kukupa Nauli Ya Kwenda Kumpigia Kura Au Kukodi Chopa Na Siyo Kukuchimbia KisimaWanasiasa wanaweza kuimba pambio kanisan huku ni mwislamu na vile vile anaweza aimba kaswida huku ni mkiristo muda mwingi anawaza kutimiza malengo yake tu na si ya watu wote
Yaa kabisa maana wewe kwasasa ndio raisHuyu jamaa anafikiri anaweza kupata urais kwa kuhonga na usanii. Sanaa aendelee nayo ila urais atauota. Aliupata rafiki yake Kikwete inatosha.
Sio lazima kila mtu awe rais Wa nchi hii tufike mahali tuwe wakweli Lowassa ilikuwa ni kete ya hatari sana kumpa nchi......
Mtu ambaye alishinda Makanisani na misikitini akitoa Rushwa na marafiki zake wakina Rostam Aziz ungetegemea nini kipya kutoka kwake?.............
Ni bora mabadiliko yachelewe lakini si kumpa mtu asiyeaminika kwa jamii.......
Wacha tusubiri mabadiliko ya kweli hata kama watayaona wajukuu zetu..........
Inachoshangaza badala ya kuwaombea kura madiwani alichokuwa anafanya ni kujiombea kura kama vile huo ni uchaguzi wa Rais wa Tanzania.Huyu jamaa anafikiri anaweza kupata urais kwa kuhonga na usanii. Sanaa aendelee nayo ila urais atauota. Aliupata rafiki yake Kikwete inatosha.
Nenda Kenya kajifunze walivyomtoa Moi.1.Mkuu wa mkoa
2.Mkuu wa wilaya
3.Mkurugenzi wa halmashauri
4.Katibu tawala
5.Mwenyekiti wa CCM Mkoa
6.katibu CCM mkoani
7.Katibu CCM wilaya
8.Mwenyekiti CCM wilaya
9.Viongozi wa CCM vijiji na kata
umefululiza kuandika thread toka juz uchaguz mdogo ulipofanyika lakin usisahau na hayo unapotoa lawama magufuli aliwateua hao aliwaambia nendeni mkatekeleze ilani ya ccm na unajua yule bwana kuna mkurugenz alisaidia chadema kushinda kwa kutoa ushahid alitumbuliwa na ushahid wake ulikuwa sahihi
Don't berate the player, blame the game!1.Mkuu wa mkoa
2.Mkuu wa wilaya
3.Mkurugenzi wa halmashauri
4.Katibu tawala
5.Mwenyekiti wa CCM Mkoa
6.katibu CCM mkoani
7.Katibu CCM wilaya
8.Mwenyekiti CCM wilaya
9.Viongozi wa CCM vijiji na kata
umefululiza kuandika thread toka juz uchaguz mdogo ulipofanyika lakin usisahau na hayo unapotoa lawama magufuli aliwateua hao aliwaambia nendeni mkatekeleze ilani ya ccm na unajua yule bwana kuna mkurugenz alisaidia chadema kushinda kwa kutoa ushahid alitumbuliwa na ushahid wake ulikuwa sahihi
Nenda Kenya kajifunze walivyomtoa Moi.
Tatizo la wapinzani wa bongo ni vigeugeu, watu wa kulialia na kuchumia tumbo.
Don't berate the player, blame the game!
Katiba ya Tanzania na katiba ya CCM vimempa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa madaraka ya kuteua hao viongozi.
Ndo maana wao wanaishi kwa kuigiza kulingana na walipoWanasiasa Lengo Lao Kubwa Ni Kubwa Ni Kushinda Uchaguzi Tu Basi. Yuko Tayari Kukupa Nauli Ya Kwenda Kumpigia Kura Au Kukodi Chopa Na Siyo Kukuchimbia Kisima
Tukipata jibu sahihi ndipo tutajua kosa letu ili tuweze kujirekebisha.dr.slaa alitaka mjiulize hilo swali kama ni asset au liability mwaka juzi mkamwita msaliti na kumfungulia mlango atoke.
Lowassa mweupe kabisa, hana jipya lolote.
Upinzani ndio byee byee
Nilitumaini ungenipa jibu badala ya kuniuliza tena!Lowasa ndani ya chadema ni asset au Liability???
Bandiko langu limeonyesha hata wakati Lowassa akiwa CCM, aliwahi kugaragazwa kwenye chaguzi. Kama CCM inaiba kura kwa nini hakuiba hizo kura?Kila siku tukiwaambia ccm mnaiba kura hamuamini. Huyo Lowassa alipokuwa ccm alikuwa anashinda kwa kishindo, leo unatupangia matukio kibao yw udhaifu wake. Ukweli ni kuwa ukiwa ccm una nafasi ya kushinda kivyovyote kwani tume yako, dola yako na hata ukitoa rushwa unafumbiwa macho. Sasa hiv Lowasa yuko upinzani hata kusalimia watu anawekwa ndani. Hizo ndio siasa za kipuuzi za bara la Africa.
Mikakati gani ya muda mfupi na mrefu alifanya na ikafanikiwa?Sio kila mkakati hufanikiwa kwa asilimia 100. Na kumbuka kuna mikakati ya muda Mrefu na muda mfupi