Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
" Watu wengi wananiuliza kuhusu 2020, Jibu ni Moja Tu. NITAGOMBEA"
Edward Lowassa
Nairobi Serena
16 July 2017
Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
Ana hekima na busara sana. Sikuwahi hapo nyuma kufikiri kuwa siku moja angekuwa kinara wa siasa za chadema.Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Ila jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisiKiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
Kama angekuwa yule "Uchwara" wa Tz ndio anahojiwa ungesikia kakimbia interview au akaishia kuporomosha matusi ya nguoni ya kiswahili na kisukuma.
Acha kabisa kumfananisha Lowassa na yule 'uchwara' ambaye anapata hasira na Presha ukimuuliza swali kwa lugha ya malkia.Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
Kama angekuwa yule "Uchwara" wa Tz ndio anahojiwa ungesikia kakimbia interview au akaishia kuporomosha matusi ya nguoni ya kiswahili na kisukuma.
Ha ha ha, umewaza vema! Na nina hakika angesema mwanafunzi akifika form two bado hawezi kuongea lugha anayosomea atumbuliwe hatufai huyo. Pia ufanywe Uhakiki kujua walio maliza kidato cha sita na wako makazini na lugha hiyo hawaijui ili waondolewe au kushtakiwa kwa kufoji.Ila jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisi
......
Na Ule moyo ungekua unatulia angekata mawimbi kuliko Vasco da Gama.... ama kweli Mungu fundi.
Post sent using JamiiForums mobile app